N Nanye Go JF-Expert Member Joined Oct 29, 2018 Posts 10,856 Reaction score 14,607 Oct 21, 2024 #41 Tusubiri kwenye kupiga kura nadhani watatufuta majumbani. Wananchi wamegoma kujiandikisha kwa siku 10, kura itapigwa siku moja sijui wangapi watajitokeza.
Tusubiri kwenye kupiga kura nadhani watatufuta majumbani. Wananchi wamegoma kujiandikisha kwa siku 10, kura itapigwa siku moja sijui wangapi watajitokeza.