SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar

Eti kuna Tanzania bara na Zanzibar, Where is Tanganyika? Kwa nini sisi tuitwe Tanzania bara na wao wabaki kuitwa wazanzibar? Ccm na mwalimu wao walichokipanda kitakuja kutimia muda si mrefu.
 
Waarabu weusi hawajui siku tukisema turudishe watu wetu bara na watu wao warudi huko kwao, Kale kakisiwa hakatatosha😁

Nani alikuambia , mbona nyinyi mumejaa mpaka wengine mnalala kwenye mapaa ya nyumba za michenzani kwa mamia ?? na sijui mnafuata kitu gani jinchi lote hilo lenu lililojaa rasilimali.

Hapo sijakuwekea idadi ya maelfu ya majeshi , mapolisi , na usalama waliojaa kila mtaa , sijui mnaogopa kitu gani??
 
Nani alikuambia , mbona nyinyi mumejaa mpaka wengine mnalala kwenye mapaa ya nyumba za michenzani kwa mamia ?? na sijui mnafuata kitu gani jinchi lote hilo lenu lililojaa rasilimali.

Hapo sijakuwekea idadi ya maelfu ya majeshi , mapolisi , na usalama waliojaa kila mtaa , sijui mnaogopa kitu gani??
Sasa wewe kwa akili yako unafikiri kabisa hao wakirudi huku na hawa wa kwenu wa kirudi huko kwenu mtakuwa na pa kukanyaga? 😁

Ebu rudisha akili kidogo alafu jiulize swali dogo mfano tukawabania msiingie nchi kwetu mtaenda wapi na mmezungukwa na maji tu, Listen sisi ni wakubwa and always mkubwa ndo humuelekeza mdogo hivyo sio kwa kuwa weww mdogo ukisema hutaki sisi tukuongoze basi tutakuacha tu hapana bali tutajaribu kukulazimisha hata kwa viboko maana bado hujui nini sahihi na nini sio sahihi tupo tayari mtuongelee shombo zote maana ukubwa jalala ila hatutaacha mpotee.
 
Sasa wewe kwa akili yako unafikiri kabisa hao wakirudi huku na hawa wa kwenu wa kirudi huko kwenu mtakuwa na pa kukanyaga? 😁

Ebu rudisha akili kidogo alafu jiulize swali dogo mfano tukawabania msiingie nchi kwetu mtaenda wapi na mmezungukwa na maji tu, Listen sisi ni wakubwa and always mkubwa ndo humuelekeza mdogo hivyo sio kwa kuwa weww mdogo ukisema hutaki sisi tukuongoze basi tutakuacha tu hapana bali tutajaribu kukulazimisha hata kwa viboko maana bado hujui nini sahihi na nini sio sahihi tupo tayari mtuongelee shombo zote maana ukubwa jalala ila hatutaacha mpotee.
Yaani wewe unafikiri kabla ya uvamizi hao watu wakiishi wapi ?? Mbona hao majeshi na maofisa wenu waliojaa wamejaa na wana mahali pa kukanyaga ??

Ondokeni leo muwalete hawa jamaa zetu tupumuwe hawakuja huko kwa kutaka bali kwa mazingira ya kivamizi mliyotuwekea
 
Hivi viongozi wa Tanganyika ni matahira kiasi gani mpaka wapelekeshwe na kuzidiwa akili na Wazanzibar?
Haki zote za Tanzania Wazanzibar zinawahusu, ila haki za Zanzibar Watanzania (Watanganyika) haziwahusu.
Watu million 1 wana haki ya kutoa kiongozi kutawala Tanzania (Tanganyika) lakini watu million 63 hawana haki ya kupeleka hata mtendaji wa mtaa Zanzibar
 
Hivi viongozi wa Tanganyika ni matahira kiasi gani mpaka wapelekeshwe na kuzidiwa akili na Wazanzibar?
Haki zote za Tanzania Wazanzibar zinawahusu, ila haki za Zanzibar Watanzania (Watanganyika) haziwahusu.
Watu million 1 wana haki ya kutoa kiongozi kutawala Tanzania (Tanganyika) lakini watu million 63 hawana haki ya kupeleka hata mtendaji wa mtaa Zanzibar

Yaani tunakuja kuuliwa kila uchaguzi na kutiwa vilema ili mtupe hizo haki???😛😛😛😛😛😛😛
😛 😛
 
Yaani wewe unafikiri kabla ya uvamizi hao watu wakiishi wapi ?? Mbona hao majeshi na maofisa wenu waliojaa wamejaa na wana mahali pa kukanyaga ??

Ondokeni leo muwalete hawa jamaa zetu tupumuwe hawakuja huko kwa kutaka bali kwa mazingira ya kivamizi mliyotuwekea
Bado umegoma kufikiria vizuri?
 
Bado umegoma kufikiria vizuri?

Hujasoma vizuri nakuwekea tena

Yaani wewe unafikiri kabla ya uvamizi hao watu wakiishi wapi ?? Mbona hao majeshi na maofisa wenu waliojaa wamejaa na wana mahali pa kukanyaga ??

Ondokeni leo muwalete hawa jamaa zetu tupumuwe hawakuja huko kwa kutaka bali kwa mazingira ya kivamizi mliyotuwekea
 
Kuingia kwa njia zisizo halali..? (Wahamiaji Haramu?)
 
Serikali ya Zanzibar imesema kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kwenda Zanzibar unaochangiwa na umaskini na unyanyasaji.

Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar, Abeida Rashid ametoa kauli hiyo wakati wa mazungumzo ya kitaifa ya kushughulikia uhamiaji haramu na kuimarisha ulinzi wa wahamiaji wanaoishi katika mazingira hatarishi Tanzania.

Amesema mwaka jana watoto 66 waligunduliwa mitaani baada ya kuingia Zanzibar kwa njia zisizo halali kutoka Tanzania Bara.

“Kuanzia Januari hadi mwezi huu, tuliwakuta 19 ambao wamepelekwa kwenye nyumba salama ambako wanapata mafunzo muhimu ili kujikimu,” amesema.

Chanzo: The Citizen Tanzania
Kwahyo Kumbe Ukienda Zanzibar kuna Njia Halali na zisizo halali..
Ndani ya Nchi Moja kuna wahamiaji wasio halali kutoka Ndani ya Nchi moja hyo hiyo
 
Hujasoma vizuri nakuwekea tena

Yaani wewe unafikiri kabla ya uvamizi hao watu wakiishi wapi ?? Mbona hao majeshi na maofisa wenu waliojaa wamejaa na wana mahali pa kukanyaga ??

Ondokeni leo muwalete hawa jamaa zetu tupumuwe hawakuja huko kwa kutaka bali kwa mazingira ya kivamizi mliyotuwekea
Wewe una utoto mwingi.
 
Kwahyo Kumbe Ukienda Zanzibar kuna Njia Halali na zisizo halali..
Ndani ya Nchi Moja kuna wahamiaji wasio halali kutoka Ndani ya Nchi moja hyo hiyo

wengilipta kwa njia ya bandari au air port wasingeruhusiwa hata kusafiri wakiwa Dar, mana mtoto wa under age anaruhusiwaje kusafiri akiwa peke yake bila ya vielelzo vyovyote vinavyoeleweka?

Acheni kuleta ushabiki kwenye issue za msingi
 
wengilipta kwa njia ya bandari au air port wasingeruhusiwa hata kusafiri wakiwa Dar, mana mtoto wa under age anaruhusiwaje kusafiri akiwa peke yake bila ya vielelzo vyovyote vinavyoeleweka?

Acheni kuleta ushabiki kwenye issue za msingi
Vpi mtoto huyo akienda Mwanza au akienda Dodoma watasema ni Mhamiaji Haramu???
Unajua hata Mantiki ya Mhamiaji haramu ni nini??

Umewahi kusikia Mwanza kuna ongezeko la wahamiaji haramu Kutoka Tanga au Dodoma kuna wahamiaji haramu kutoka Iringa???

Na umesema Wangetumia Bandari au Airport wasingeruhusiwa??

Sasa wewe kwa akili yako wamefikaje zanzibar walienda kwa Basi?? Au walienda kwa Ungo??
 
Back
Top Bottom