SMZ: Kuna ongezeko la uhamiaji holela wa watoto kutoka Tanzania Bara kuja Zanzibar


wanatumia majahazi ya wavuvi kuvuka, hizo ishu mbona ni za kawaida
 
wanatumia majahazi ya wavuvi kuvuka, hizo ishu mbona ni za kawaida
wanatumia majahazi ya wavuvi kuvuka, hizo ishu mbona ni za kawaida
Kwahyo wakitumia Majahazi ya wavuvi wanakuwa wahamiaji haramu na wakitumia Meli na Airport wanakuwa Wahamiaji Halali..

Mkuu unajisikia Kweli???
Mimi Nimezaliwa Zanzibar na nimeamia Tanzania Bara Nikiwa mtu mzima nina miaka 15 mpaka 17 hivi nimekaa Tanga Mjini na Pangani Kipumbwi ..

Usafiri wa Kipumbwi Pangani, Na Sahare/Tanga Beach Ni majahazi na Vidau mpaka Zanzibar kwenye bandari ya Kikokotoni..

Watu wanapanda Vidau na Majahazi kwa sababu Ni bei nafuu sana..
Hata ukienda kikokotoni Utakuta zipo nyingi zinakuja Bara...

Swali langu la msingi sio aina ya Usafiri kwa sababu aina ya Usafiri Haibatilishi Uhalali au Uharamu wa Ukazi..

Narudia Tena Inakuwaje Ndani ya Nchi moja mtu mmoja kutoka mahala moja kwenye mahala Pengine ahesabike Kuwa Ni mhamiaji haramu?? Ndani ya Nchi moja?

Marekani ina Majimbo/States zaidi ya 52 Na Raia wana haki ya kwenda kwenye Majimbo Hayo regardless amezaliwa Jimbo gani For your Information (FYI) Majimbk yale ni Nchi zilizoungana..

Mbona Sijasikia Raia wa Texas akimuita Raia wa Missisipi Kuwa ni mhamiaji haramu??
 

Mhamiaji Haramu ni yule aliehamia sehemu bila ya kufuata taratibu stahiki hata ikiwa ni ndani ya nchi mmoja, Mtoto wa chini ya miaka 18 haruhusiki kuhamia sehemu peke yake bila ya usimamizi wa mlezi. Kuwa tumezoea kuishi kimwitu miwtu haimaanishi kuwa ndio usahihi.
 
Tafsiri hiyo Ni kwa mujibu wa Sheria Ipi???
Unafahamu chochote Kuhusu Mature Minor??
 
Sasa utafananishaje Zanzibar na Mwanza au Dodoma? Zanzibar wako katika harakati za kudai Mamlaka kamili au kuuvunja Muungano, Kwa nini Mwanza au Dodoma hawako katika harakati za kujitenga na Tanzania? 🇹🇿 in short Watanganyika kule Zanzibar hamtakiwi na ndo maana kila siku utasikia mambo mapya! Juzi tu Dc Hamida alizifungia baa unajua aliwatarget kina nani?
Na hayo yote yanayofanyika umeshawahi kuskia mtu akilaani?
Miaka sio mingi apa juzi kati vibanda vya watu wenye asili ya tanganyika vilichomwa moto kule Zanzibar! Kwaio musijifanye mnataka haki sawa Zanzibar kule sio kwenu ☺️
 
Kwa hiyo mtu akitoka Tanganyika akahamia Zanzibar ni mhamiaji haramu lakini wapemba waliotapakaa kila mahali hapa Tanganyika ni wahamiaji halali? Hii nchi ngumu sana aisee!
 
Kwa hiyo mtu akitoka Tanganyika akahamia Zanzibar ni mhamiaji haramu lakini wapemba waliotapakaa kila mahali hapa Tanganyika ni wahamiaji halali? Hii nchi ngumu sana aisee!
Ukitoka Tanganyika kuelekea Zanzibar pale bandarini na Airport wanakgua vitambulisho kwa raia wote, badala ya vitambulisho sasa tunataka kila mkoja aje na passport Zanzibar imewachoka wahamiaji haramu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…