SMZ yazidi kuubomoa Muungano yataka bara walipe kodi ya ardhi

SMZ yazidi kuubomoa Muungano yataka bara walipe kodi ya ardhi

..kunaweza kukawa na viwango vya kodi wa wa-Zenj.

..halafu kikawekwa kiwango kingine kwa wa-Bara wanaotaka kuweka makazi na uwekezaji Zenj.

..haki itatendeka kama baada ya muda fulani wa kuishi Zenj, m-Bara akawa na haki sawa kama wa-Zenj, na kuruhusiwa kulipa kiwango cha kodi kinacholingana na wa-Zenj wengine.
Joka Kuu kaka yangu
unajikanyaga. Hakuna tatizo hapo . Bara hamtaki kuwapa Zanzibar yale ambayo kwa mujibu wa Muungano wetu ule!!!- ni yao. Sasa, kinyume cha hapo - sijui nichangie mara ngapi katika forum yenu. Tubakie katika makubaliano. Ya wa Zenj ni ya Wa -zenj msiwaingilie. na ya Muungano ni ya muungano tuyachukue pamoja. Lakini mafuta - Laa . Ni ya Zenj. Na mapunjo mengine - PIA HATUKUBALI
 
..kunaweza kukawa na viwango vya kodi wa wa-Zenj.

..halafu kikawekwa kiwango kingine kwa wa-Bara wanaotaka kuweka makazi na uwekezaji Zenj.

..haki itatendeka kama baada ya muda fulani wa kuishi Zenj, m-Bara akawa na haki sawa kama wa-Zenj, na kuruhusiwa kulipa kiwango cha kodi kinacholingana na wa-Zenj wengine.
Muda wa kuwa na sifa za Kizenj kwa wageni ni kukaa hapo visiwani kwa miaka mitano mfululizo, na ni baada ya kujiandikisha kwa Sheha siku unapotia mguu visiwani humo.
 
watakufanye njaa huku wamejazana bara wanalima mashamba makubwa wanaendesha biashara kubwa za kila aina tatizo hawapeleki pesa zanzibar bari kule kwa mjomba.
Muungano hauwapi nafasi ya kujitafutia, kila wakianza mradi hata wa uuza uji na mandazi tu wakubwa wa SMT wanauwangia, hao wanaotafuta huko bara ni sawa na wabara wanaotafuta Kenya, Uganda tunao hapa Ujerumani, tatizo lipo wapi?sasa wazanzibar ardhi ni rasilimali yao wanataka ilete faida kwa w atu wao, na hapa naona wabara "wanalalamika" bure tu kwani kodi hii kwa mujibu wa sheria hata wazanzibar watalipa sehemu yao tofauti na ile ya wageni mf. wabara n.k mnataka dezo ehhh! hakuna dezo, mkitaka dezo njooni Malindi pale....mtapata burrreeee!
 
Muungano hauwapi nafasi ya kujitafutia, kila wakianza mradi hata wa uuza uji na mandazi tu wakubwa wa SMT wanauwangia, hao wanaotafuta huko bara ni sawa na wabara wanaotafuta Kenya, Uganda tunao hapa Ujerumani, tatizo lipo wapi?sasa wazanzibar ardhi ni rasilimali yao wanataka ilete faida kwa w atu wao, na hapa naona wabara "wanalalamika" bure tu kwani kodi hii kwa mujibu wa sheria hata wazanzibar watalipa sehemu yao tofauti na ile ya wageni mf. wabara n.k mnataka dezo ehhh! hakuna dezo, mkitaka dezo njooni Malindi pale....mtapata burrreeee!
 
Muda wa kuwa kuishi kuishi na kuwa na sifa za Kizenj kwa wageni ni miaka mitano
Kamanda?, kwani tatizo lipo wapi? Tuanzie na ile sheria ya Mzanzibari. Kama wewe unatoka Sengerema ukija Zanzibar na Ukaishi (mfululizo) miaka mitano- si basi wewe Mzanzibari. Na jee Mpemba ukitoka kwenu Shengejuu na kwenda Sengerema si unapofika tu unakuwa Mtanzania pale, mwenye haki sawa na Msukuma wa pale. Mungu ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Kamanda?, kwani tatizo lipo wapi? Tuanzie na ile sheria ya Mzanzibari. Kama wewe unatoka Sengerema ukija Zanzibar na Ukaishi (mfululizo) miaka mitano- si basi wewe Mzanzibari. Na jee Mpemba ukitoka kwenu Shengejuu na kwenda Sengerema si unapofika tu unakuwa Mtanzania pale, mwenye haki sawa na Msukuma wa pale. Mungu ibariki Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Si unakumbuka miaka ile kwenda Zenj shurti uwe na passport? Baada ya kuondolewa kwa passport, njia nyingine ya kuufaidi uzenj ni kukaa humo kwa miaka mitano, na hivi ndivyo walivyokubaliana hao waliotia sahihi na kuchanganya udongo wa nchi hizo mbili...!
 
Nina wasi2 huu Muungano utakuja tu vunjika siku moja!

Yaani ungaunganisha watu 40m against 1m na kuwapa upendeleo wa Wabunge 50 kati ya 232 na Makamu wa Raisi, mawaziri na Faida chungu nzima!

Yet malalamiko hayaishi toka Visiwani!

Sasa faida bara wanayopata kwa huu Muungano ni nini??
 
Mko wapi Chadema na sera ya MAJIMBO?
Chadema wameishiwa . Sera ya Majimbo, anaitaka nani ulimwengu huu wa leo. Lets keep,our Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini tuwe serious katika huili
 
Si unakumbuka miaka ile kwenda Zenj shurti uwe na passport? Baada ya kuondolewa kwa passport, njia nyingine ya kuufaidi uzenj ni kukaa humo kwa miaka mitano, na hivi ndivyo walivyokubaliana hao waliotia sahihi na kuchanganya udongo wa nchi hizo mbili...!
Hao watu nafikiri walikuwa na hekima. I give them thumb up
 
Muungano hauwapi nafasi ya kujitafutia, kila wakianza mradi hata wa uuza uji na mandazi tu wakubwa wa SMT wanauwangia, hao wanaotafuta huko bara ni sawa na wabara wanaotafuta Kenya, Uganda tunao hapa Ujerumani, tatizo lipo wapi?sasa wazanzibar ardhi ni rasilimali yao wanataka ilete faida kwa w atu wao, na hapa naona wabara "wanalalamika" bure tu kwani kodi hii kwa mujibu wa sheria hata wazanzibar watalipa sehemu yao tofauti na ile ya wageni mf. wabara n.k mnataka dezo ehhh! hakuna dezo, mkitaka dezo njooni Malindi pale....mtapata burrreeee!
Yaa, Junius Muungano unatuzonga.! Tukijitahidi wenyewe kutafuta - na kupata Wa-Bara (kwa jina la Muunganio ) wanaingia kati na kuhoji. Sasa ni tatizo? Kwa nini yale ya Zanzibar wasiachiwe wenyewe? Hivi sisi - mimi na wewe Junius hatuna uwezo wa kuwashinda wasukuma hao wa huko( Ki akili na kiuwezo)
 
Nina wasi2 huu Muungano utakuja tu vunjika siku moja!

Yaani ungaunganisha watu 40m against 1m na kuwapa upendeleo wa Wabunge 50 kati ya 232 na Makamu wa Raisi, mawaziri na Faida chungu nzima!

Yet malalamiko hayaishi toka Visiwani!

Sasa faida bara wanayopata kwa huu Muungano ni nini??

Mimi nafikiri wapewe nafasi maana wanaona wana uwezo wakuifanya zenji nchi nzuri na yenye mvuto,maana tangu uhuru hawajapewa nafasi ya kuendesha nchi yao.

Viongozi wa Muungano hasa Rais na washilika wao ningeonelea wazanzibar wapewe nchi yao miaka 10 chini ya uangalizi wao,baada ya miaka 10 wakiona wamefanya vizuri basi waendelee na wakiona mambo ndivyo sivyo baada ya miaka 10 na wakataka kurudi basi hapo warudi kama mkoa kama ulivyo mkoa wa mwanza.
 
Nemegundua sasa kumbe dhamira yenu wazanzibar wafe njaa, mnataka wasiwe na hata kamradi hivi ka kujiingizia? wasubiri mgao wa muungano tu mgao wenyewe mpaka mafisadi wajigawie kwanza aaaa mtu kimfaacho chake bwana, kwahili semeni mpaka mdate kama hamtaki kulipa mtahama.

Sio hivyo mkuu hoja hapa ni kwanini kuwe na rate tofauti na ote ni watanzania? swala la kulipa kodi hilo halina wasiwasi ni lazima watu walipe kodi. Shida ni hiyo tofauti.
 
Tatizo ni pale jamii inapohoji kwa nini walifanya hivyo bila ridhaa zao?
Kibunango - ridhaa ni za nani? - Hao wanokaaa hapo Dar bila kuulizwa? Na si hapo tu na wanakwenda mpaka Biharamulo.Hawahojiwi. Sasa Maskini ya Mungu Msukumu katoka kwao Sengerema kaishi pale Daraja bovu miaka mitano. Kwa nini asipike kura kumchagua Mwakilishi wake?
 
Mimi nafikiri wapewe nafasi maana wanaona wana uwezo wakuifanya zenji nchi nzuri na yenye mvuto,maana tangu uhuru hawajapewa nafasi ya kuendesha nchi yao.

Viongozi wa Muungano hasa Rais na washilika wao ningeonelea wazanzibar wapewe nchi yao miaka 10 chini ya uangalizi wao,baada ya miaka 10 wakiona wamefanya vizuri basi waendelee na wakiona mambo ndivyo sivyo baada ya miaka 10 na wakataka kurudi basi hapo warudi kama mkoa kama ulivyo mkoa wa mwanza.
Ya Wa -Zenj kwa nini ujashadidie wewe. Huo ni ukoloni. Waachie na mambo yao- watajiju wenyewe. Na ya Muungano basi tuchangamkie pamoja. Tatizo lako wewe hawa Wa-zenj sijui unawaonaje? Unafikiri hawawezi kufanya mambo yao. Acha kuwaangilia.
 
Kibunango - ridhaa ni za nani? - Hao wanokaaa hapo Dar bila kuulizwa? Na si hapo tu na wanakwenda mpaka Biharamulo.Hawahojiwi. Sasa Maskini ya Mungu Msukumu katoka kwao Sengerema kaishi pale Daraja bovu miaka mitano. Kwa nini asipike kura kumchagua Mwakilishi wake?
Pakacha.. Kwani makelele yote yanayosikika sasa yanatoka wapi? Leo kila mtu anataka kuona huo mkataba, kila mtu anataka kujua kwa nini Hao waliunganisha nchi zao na kwanini muungano huo ulibakiza sehemu moja kuwa nchi ndani ya muungano. Yapo mengi wengine wanaona kuwa nchi hiyo inatawaliwa licha ya kudai ni wana mapinduzi!

Aidha kuhusu Wanyamwezi(including Wasukuma) Daraja bovu sio kiwanja chao, hivyo wanapoweka makazi yao hapo lazima watapigiwa kelele na Wapemba! Wanyamwezi viwanja vyao ni huko kwenye konde, na mjini wanaruhusiwa kuja kila mwisho wa mwezi tu!
 
Pakacha.. Kwani makelele yote yanayosikika sasa yanatoka wapi? Leo kila mtu anataka kuona huo mkataba, kila mtu anataka kujua kwa nini Hao waliunganisha nchi zao na kwanini muungano huo ulibakiza sehemu moja kuwa nchi ndani ya muungano. Yapo mengi wengine wanaona kuwa nchi hiyo inatawaliwa licha ya kudai ni wana mapinduzi!

Aidha kuhusu Wanyamwezi(including Wasukuma) Daraja bovu sio kiwanja chao, hivyo wanapoweka makazi yao hapo lazima watapigiwa kelele na Wapemba! Wanyamwezi viwanja vyao ni huko kwenye konde, na mjini wanaruhusiwa kuja kila mwisho wa mwezi tu!
Kwa nini wapigiwe makelele. Na kina naini. Kwani Wa-Pemba ni kiwanja chao Daraja Bovu? Si walitoka tu huko Kisiwa cha pili na kuja pale. Sasa Mnyamwezi (akiwa ameishi miaka mitano pale) kwa nini asijisikie vizuri tu sawa na yule aliyetoka Chokocho na kujenga pale?
 
Back
Top Bottom