Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
- Thread starter
-
- #21
Wote walewale tu, ila kuna siku nijitia uchizi Neiman Marcus, nikatoka na sneakers pair moja!.
Hahaaa... Neiman huwa naingia mzima mzima aisee, hizo za kwenye clearance rack ukizitaka unazivizia kule Eastbay, unaweza kuibua kitu safi kwa bei poa kabisa!.Hiyo nahisi ilikuwa labda Nike Air Max 90.....manake mara moja moja hizo unaweza ukazibabatiza huko...tena kwenye clearance rack....[just kidding].
Aisee kwa bei hiyo tutakutana KarumeHiyo website huwa nachungulia tu na kusepa!. Kuna cologne moja hivi wanauza $800
...for Real!, no question.
Hey Kui, I've got some Rene Caovilla - Swarovski Embellished Lace kicks for you.
Get your swag on fleek each time you hit the gym to work on them glutes😉.
View attachment 334579
Daaamn!,...these are nice!
I'll go from 1 hour in the gym to 2 hrs, dedicating the whole hour just for 'legs stretching' 🙂
Hey Kui, I've got some Rene Caovilla - Swarovski Embellished Lace kicks for you.
Get your swag on fleek each time you hit the gym to work on them glutes😉.
View attachment 334579
I love the traditional sneakers shape like this. Hizi za siku hizi za kina dia muslimond mtu anakuwa kama mkoma sijawahi kuzielewa.
Nice ones trainer
Hizo OG kbs ila usiende kariakoo utaambulia majagi, maplastic.
Kanye West's Yeezy sneakers
I'm not feeling those Yeezies....
Why?!, they're unique and seems super confy.