Snoop Dogg sio muhuni kama tunavyomchukulia

Snoop Dogg sio muhuni kama tunavyomchukulia

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ukiacha suaka la kuvuta bangi hakuna evidence yoyote kuwa snoop ni muhuni.

Amedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30 na girl friend wake wa tangu college.

Yoke very close na baba yake mzazi japo hapo awali alimtellekeza,yaani yupo close na baba yake kuliko mama yake

Yupo close na familia mke,watoto na wajukuu.

Uhuni unaouona kideoni ni maigizo tu,jamaa hana noma

We unajifanya mtu wa Mungu ndoa imekushinda sasa nani Muhuni hapo,ndoa ni kipimo kimoja wapo cha uhuni
 
Ukiacha suaka la kuvuta bangi hakuna evidence yoyote kuwa snoop ni muhuni.

Amedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30 na girk friend wake wa tangu college.

Yoke very close na baba yake mzazi japo hapo awali alimtellekeza,yaani yupo close na baba yake kuliko mama yake

Yupo close na familia mke,watoto na wajukuu.

Uhuni unaouona kideoni j8 maigizo tu,jamaa hana noms.

We unajifanya mtu wa Mungu ndoa imekushinda sasa nani Muhuni hapo,ndoa ni kipimo kimoja wapo cha uhuni
SAWA.
 
Ukiacha suaka la kuvuta bangi hakuna evidence yoyote kuwa snoop ni muhuni.

Amedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30 na girk friend wake wa tangu college.

Yoke very close na baba yake mzazi japo hapo awali alimtellekeza,yaani yupo close na baba yake kuliko mama yake

Yupo close na familia mke,watoto na wajukuu.

Uhuni unaouona kideoni j8 maigizo tu,jamaa hana noms.

We unajifanya mtu wa Mungu ndoa imekushinda sasa nani Muhuni hapo,ndoa ni kipimo kimoja wapo cha uhuni
Tatizo kuna uhuni uhuni na uhuni umalaya, snoop ni muhuni muhuni ila sio muhuni malaya na wahuni wahuni wengi huwa wamenyooka kwenye kila sehemu kwasababu wanajua gharama za kufanya mambo kinyume na kanuni na taratibu zilizowekwa na wengi hawako tayari kulipa hizo gharama.

Wahuni wahuni wengi ukifanya nao biashara katika terms fulani fulani na ukamess up ukatoka nje ya zile terms basi hamnaga msamaha ni utaanguka tu.

Sasa watu wa hoods wengi wamekua kwenye hiyo misingi, kwasababu kwenye hoods huwezi kusurvive kama huwezi kufuata protocol.
 
Tatizo kuna uhuni uhuni na uhuni umalaya, snoop ni muhuni muhuni ila sio muhuni malaya na wahuni wahuni wengi huwa wamenyooka kwenye kila sehemu kwasababu wanajua gharama za kufanya mambo kinyume na kanuni na taratibu zilizowekwa na wengi hawako tayari kulipa hizo gharama.

Wahuni wahuni wengi ukifanya nao biashara katika terms fulani fulani na ukamess up ukatoka nje ya zile terms basi hamnaga msamaha ni utaanguka tu.

Sasa watu wa hoods wengi wamekua kwenye hiyo misingi, kwasababu kwenye hoods huwezi kusurvive kama huwezi kufuata protocol.
Safi sana ,hapo nimekuelewa,ukijifanya muhuni pure hutoboi,
 
Hapo vipi naona wadau mnanikubali sana 😁
Screenshot_20240806-144844.jpg
 
Safi sana ,hapo nimekuelewa,ukijifanya muhuni pure hutoboi,
Yeah maisha ya kigengster huwa yanazingatia sana kanuni, ukivunja kanuni kama adhabu yake inasema ni kifo watu wanaikoki wanaweka ya kichwa halafu wanaendelea na ratiba zingine.

Na hiyo ndio America ambayo wamekulia kina snoop jinsi ilivyokua, sasa kijana yeyote ambae amekulia kwenye hiyo misingi, yaani misingi ya sheria na utekelezaji wa hapo kwa hapo. Lazima anyooke kama rula.
 
Ukiacha suaka la kuvuta bangi hakuna evidence yoyote kuwa snoop ni muhuni.

Amedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30 na girl friend wake wa tangu college.

Yoke very close na baba yake mzazi japo hapo awali alimtellekeza,yaani yupo close na baba yake kuliko mama yake

Yupo close na familia mke,watoto na wajukuu.

Uhuni unaouona kideoni ni maigizo tu,jamaa hana noma

We unajifanya mtu wa Mungu ndoa imekushinda sasa nani Muhuni hapo,ndoa ni kipimo kimoja wapo cha uhuni
Uhuni ni nini?
 
Snoop ni muhuni anaejitambua hata enzi za kina Pac hakuna sana kwenye makundi ya chuki yeye alijikita na kuhimiza watu wawe wamoja waache mambo za ma bifu ya East na Coast..
Kama Dogy sio muhuni basi hakuna wahuni ila hayupo kwenye kundi la wale wahuni wa masela huko alipita kitambo sana..
 
Ukiacha suaka la kuvuta bangi hakuna evidence yoyote kuwa snoop ni muhuni.

Amedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30 na girl friend wake wa tangu college.

Yoke very close na baba yake mzazi japo hapo awali alimtellekeza,yaani yupo close na baba yake kuliko mama yake

Yupo close na familia mke,watoto na wajukuu.

Uhuni unaouona kideoni ni maigizo tu,jamaa hana noma

We unajifanya mtu wa Mungu ndoa imekushinda sasa nani Muhuni hapo,ndoa ni kipimo kimoja wapo cha uhuni
Snoop dog ametokea streets kwa wahuni, thats where he started, but as they say watu wanabadilika, moja ya mtu alie mbadilisha ni mke wake wa muda mrefu. And the guy is loyal, so loyal to his family
 
Snoop ni muhuni anaejitambua hata enzi za kina Pac hakuna sana kwenye makundi ya chuki yeye alijikita na kuhimiza watu wawe wamoja waache mambo za ma bifu ya East na Coast..
Kama Dogy sio muhuni basi hakuna wahuni ila hayupo kwenye kundi la wale wahuni wa masela huko alipita kitambo sana..
Muinekano wake tu na kuvuta bangi Otherwise tusingemuita muhuni,Trust me P Diddy ni muhuni kuliko Snoop,Kama aliweza kuwahimiza wenzake waache ufala wa mambo ya east coast vs west coast basi huyo ni mtu poa
 
Muinekano wake tu na kuvuta bangi Otherwise tusingemuita muhuni,Trust me P Diddy ni muhuni kuliko Snoop
Diddy ajafikia uhuni wa kina Snoop , Pac au wakina Mob deep hao watu wamejinyongorota hawajapinda Bangi huko mbele sio ishu kama unavyoichukulia bongo huko zipo sehemu za kuuza na kuvuta bangi kiharali bila kusumbuliwa na Police..
 
Back
Top Bottom