Snoop Dogg sio muhuni kama tunavyomchukulia

Snoop Dogg sio muhuni kama tunavyomchukulia

Snoop ni FBI,anashutumiwa usnitch,siku tupac anakula chuma alikua bize na radio call miss hiyo,aliwataarifu awapendao wasiende kule ambako pac alikua anaenda,sababu kuna mtu ataenda kuumizwa
Angeshakufa siku nyingi sana. Blacks hawanaga mbili kwenye swala la kujihusisha na dola
 
Kwa hiyo harmonise nae kwa kuwa ni mvuta bangi ila yuko close na baba yake basi sio mhuni si ndio?
 
Bangi sio Uhuni... Unaweza ukavuta na bado ukastay positive...


#Nikkimbishi
#Godzilla
#Fid Q
#Makonda
#Jiwe
#ElonMusk
 
Yap,nipo nae hapa Long Beach,Califonia,ni jirani yangu ila hiyo MIMOSHI ya MIBANGE sasa ndio kero yangu kubwa kutoka kwake.Ila kiujumla ni mtu poa sana
 
Kwa hiyo harmonise nae kwa kuwa ni mvuta bangi ila yuko close na baba yake basi sio mhuni si ndio?
Hamonizer huyo anayeoa kila siku na mishangazi,anayetaka kula kuku na nayai yake,kipimo cha uhuni ni ndoa
 
Uhuni ni...
1.Kuzurura hovyo mitaani bila kazi na kufanya uhalifu (Sheria za nchi) ie. Uhuni uhuni.

2.Kuish bila kuoa wala kuolewa licha ya kufikisha umri (Kamusi TUKI) ie.Uhuni umalaya.

#WAHUNI SIO WATU.
 
Yeah maisha ya kigengster huwa yanazingatia sana kanuni, ukivunja kanuni kama adhabu yake inasema ni kifo watu wanaikoki wanaweka ya kichwa halafu wanaendelea na ratiba zingine.

Na hiyo ndio America ambayo wamekulia kina snoop jinsi ilivyokua, sasa kijana yeyote ambae amekulia kwenye hiyo misingi, yaani misingi ya sheria na utekelezaji wa hapo kwa hapo. Lazima anyooke kama rula.
Wahuni hawapatani na polisi, hivyo wana namna flani wametengeneza sheria zao, wametengeneza hukumu zao n.k wana mtindo wao kipekee wa kiuongozi na uwajibikaji.

Mfano wanafanya biashara kinyume na sheria wanapo dhulumiana hakuna kwenda polisi, wanamalizana kivyao.

Wengi wamekulia maisha hayo ya kitaa baadae wakaamua kuachana navyo, ndio kama hawa kina Snooo, Dr Dre, 50 cent, Akon n.k..

Wale jamaa ukiwasikiliza hata wanavyoongea wana madini sana ya maisha. Ndio maana huwezi nikuta namsikiliza Jay Melody zaidi ya kujua ngono hakuna lolote.
 
Wahuni hawapatani na polisi, hivyo wana namna flani wametengeneza sheria zao, wametengeneza hukumu zao n.k wana mtindo wao kipekee wa kiuongozi na uwajibikaji.

Mfano wanafanya biashara kinyume na sheria wanapo dhulumiana hakuna kwenda polisi, wanamalizana kivyao.

Wengi wamekulia maisha hayo ya kitaa baadae wakaamua kuachana navyo, ndio kama hawa kina Snooo, Dr Dre, 50 cent, Akon n.k..

Wale jamaa ukiwasikiliza hata wanavyoongea wana madini sana ya maisha. Ndio maana huwezi nikuta namsikiliza Jay Melody zaidi ya kujua ngono hakuna lolote.
Sure mkuu, wako na exposure kubwa sana na maisha.
 
Sure mkuu, wako na exposure kubwa sana na maisha.
Kabisa,mtandaoni kuna barua 2pac alimuandikia nadonna kipindi yuko gerezani mwaka 1995,utadhani iandikwana afisa habari mwandamizi kumbe ni muhuni tu wa miaka 24
 
Wahuni hawapatani na polisi, hivyo wana namna flani wametengeneza sheria zao, wametengeneza hukumu zao n.k wana mtindo wao kipekee wa kiuongozi na uwajibikaji.

Mfano wanafanya biashara kinyume na sheria wanapo dhulumiana hakuna kwenda polisi, wanamalizana kivyao.

Wengi wamekulia maisha hayo ya kitaa baadae wakaamua kuachana navyo, ndio kama hawa kina Snooo, Dr Dre, 50 cent, Akon n.k..

Wale jamaa ukiwasikiliza hata wanavyoongea wana madini sana ya maisha. Ndio maana huwezi nikuta namsikiliza Jay Melody zaidi ya kujua ngono hakuna lolote.
Mashairi yao tu yanaonyesha walivyo smart kichwani
 
Ukiacha suaka la kuvuta bangi hakuna evidence yoyote kuwa snoop ni muhuni.

Amedumu kwenye ndoa kwa miaka zaidi ya 30 na girl friend wake wa tangu college.

Yoke very close na baba yake mzazi japo hapo awali alimtellekeza,yaani yupo close na baba yake kuliko mama yake

Yupo close na familia mke,watoto na wajukuu.

Uhuni unaouona kideoni ni maigizo tu,jamaa hana noma

We unajifanya mtu wa Mungu ndoa imekushinda sasa nani Muhuni hapo,ndoa ni kipimo kimoja wapo cha uhuni
Nini maana ya uhuni?
 
Back
Top Bottom