Tetesi: Snoop Doggy ndie msanii kutoka nje atakayetumbuiza kwenye Fiesta Dar

Tetesi: Snoop Doggy ndie msanii kutoka nje atakayetumbuiza kwenye Fiesta Dar

Afyayaakili

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
924
Reaction score
1,263
Hii imevujaa baada ya Adam Mchomvu kulopoka kabla ya tangazo rasmi kutoka afu wakajifanya kupotezea ila ndio ivo kesharopoka.
images.jpg
maxresdefault1.jpg

maxresdefault1.jpg

Screenshot_2016-10-21-12-39-07-1.png

Screenshot_2016-10-21-12-46-13-1.png

 
Clouds kwa kupenda maveteran, inamaana hadi sasa hawajawa na ubavu wa kuchukua wasanii walio kwenye peak?
Wanapenda mteremko, hapa ndo nahisi kwa jinsi gani wasanii wa ndani wanavyopunjwa kwenye hili tamasha, Rubby alisha alert, kisa eti platform ndo unipe ela mbuzi?? Kama wana ubavu wakamchukue Justin Biba!! Maana huyo mzee ni mara mia asimame Manfongo ataeleweka zaidi.
 
Mtu mzma Snoop Dogg mbona ashapotea kwenye game kitambo tu na saiv kabaki kama legend tu,, kama kwel wapo serious watulete mtu kama drake au Kendrick hapo ndo ntawaelewa
 
Wanapenda mteremko, hapa ndo nahisi kwa jinsi gani wasanii wa ndani wanavyopunjwa kwenye hili tamasha, Rubby alisha alert, kisa eti platform ndo unipe ela mbuzi?? Kama wana ubavu wakamchukue Justin Biba!! Maana huyo mzee ni mara mia asimame Manfongo ataeleweka zaidi.
Justin bierber uwezo huo si watafilisi medie
 
Ngoja tujaribu show za hiphop ya snoop doggy kwenye fiesta tuone amsha amsha za hiphop sio kila siku ladha za pop na rnb
 
Back
Top Bottom