BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Atakua hawajui mawingu huyu" yan hyo ni stategies za jamaa ili watu mtaani waongeleeMleta mada sio kwamba baba John karopoka, hiyo imetokea maksudikali kwani ndio za mawingu hizo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakua hawajui mawingu huyu" yan hyo ni stategies za jamaa ili watu mtaani waongeleeMleta mada sio kwamba baba John karopoka, hiyo imetokea maksudikali kwani ndio za mawingu hizo
We amina nawe mwisho wa siku utasema ipelekwe kwenye tetemeko....kwanini hiyo pesa asingepewa sugu au prof j
Mwaka gani huo bro,ilikuwa wap?
Nadhani ilikuwa mwaka 1998 jamaa walialikwa Kenya 2 proud akawashawishi na kuwaleta dar.Mwaka gani huo bro,ilikuwa wap?
Ulitaka wamlete nani mkuu?Mbona wanaleta wavuta bange tena?!
Exactly,lakini pia hazikuwasha kihivyo ilikuwa club billsNadhani ilikuwa mwaka 1998 jamaa walialikwa Kenya 2 proud akawashawishi na kuwaleta dar.
Mpunga kaka.....na magu anangojea kodi yakeClouds kwa kupenda maveteran, inamaana hadi sasa hawajawa na ubavu wa kuchukua wasanii walio kwenye peak?
Hiyo ela ya chris aliyotoa yule gavana sio ya kitotoWalishindwa nini kumteka Chriss Brown alivyokuwa hapo Mombasa juzi, akatumbuiza fasta na kusepa...! mpaka watuletee mzee
Duuuh faida yote ya fiesta ya kuzunguka mikoa yote ya tanzania wampe mtu mmoja tu halafu bado kodi2.5 Bil kumchukua drake!