Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anashika nafas ya pili kwa wasanii wenye mpunga mrefuStory za kunyapia nyapia zinasema mawingu fm wanamleta mtu mzima Jay Z
Hahahaha...wahudhuriaji wa Fiesta ni mazuzu pia
..nachojua anakuja Tyga ..au ndio huyo French Montana? November 5Adam kazingua anakuja French Montana
Chris brown Kala bilioni moja ya kitanzania haya niambie ka ubavu huo wanao??Walishindwa nini kumteka Chriss Brown alivyokuwa hapo Mombasa juzi, akatumbuiza fasta na kusepa...! mpaka watuletee mzee
Kwani wavuta bangi sio watu? Tatizo hufahamu kama hujui.Mbona wanaleta wavuta bange tena?!
Kwa Snoop Dog wamepuyanga...
Labda kama wanataka kutukumbusha enzi zetu za miaka ya 90 sawa lkn asimilia 90 watakaingia fiesta ni dotcom hivo hawatakonga nyoyo za wasanii au km hela haitoshi wawalete wasanii wa bongo mondi na kiba ili Pesa ibaki ndani.Huyo si alisilimu akaamua kumrudia Muumba wake baada ya ukafiri wa miaka mingi .Pia Snoopy alishapita zamani zake kama alivo nature hawezi kwenda na vijana wa sasa,wamchukue Drake,Neyo,Chriss Brown.
Snoopy tunafaham ni Legend, ila mda wake umekwisha. Hata Marekani hana soko kama hao wakina Drake, muziki ni kama mpira wakati wako ukiisha hata thamani yako inashuka, wakati Pogba ananunuliwa kwa Paundi Mil 90, Ronaldinho hata bure timu kubwa hazimtakiKweli kuna tofauti kubwa kati ya washabiki na wapenzi wa Muziki;hata hao Wamarekani wenyewe wakisoma comment za hii Thread kuhusu Snoopy watashangaa
C n kampuni.itaflisikaClouds kwa kupenda maveteran, inamaana hadi sasa hawajawa na ubavu wa kuchukua wasanii walio kwenye peak?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] aiseeee nmecheka sana hapo kwa mreno n sure ataozea Spain huyoSnoopy tunafaham ni Legend, ila mda wake umekwisha. Hata Marekani hana soko kama hao wakina Drake, muziki ni kama mpira wakati wako ukiisha hata thamani yako inashuka, wakati Pogba ananunuliwa kwa Paundi Mil 90, Ronaldinho hata bure timu kubwa hazimtaki
Nimabie K..........Hahahaha...
..nachojua anakuja Tyga ..au ndio huyo French Montana? November 5
Kuwaleta sio ishu, na hii hali ya maisha watu watashindwa viingilio.Mtu mzma Snoop Dogg mbona ashapotea kwenye game kitambo tu na saiv kabaki kama legend tu,, kama kwel wapo serious watulete mtu kama drake au Kendrick hapo ndo ntawaelewa
wanaolipa wasanii sio clouds, wanaotoa hela ya kuwanalipa wasanii ni tigo na wadhamini wengineUnajua Chris brizzy alilipwa kiasi gani kenya??kila dakika moja alikuwa analipwa 1 m Kenya shillings,so alifanya 90 Yani saa moja na nusu,aliondoka na 90m kenya shillings,hesabu za haraka hizo ni sawa na 900000$,sasa unaona clouds wana ubavu wa kumlipa hiyo hela Chris???wataishia kuchukua wazee tu Kama kina snoop