Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa ninavyofahamu Snoopy hawezi kuja bongo hakuna taasisi inaweza kumlipa na bwana anazarau sana hawezi kukubaliana na mialiko ya wachovuWalishindwa nini kumteka Chriss Brown alivyokuwa hapo Mombasa juzi, akatumbuiza fasta na kusepa...! mpaka watuletee mzee
Mwaka gani huo bro,ilikuwa wap?
Ndio uwezo wao ulipoishia! Tutaletewa ZILIPENDWA mpaka tunyooke![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndo walompata wa bei rahisii!!
Mzee wa "doG si nataS"
Iluminati
.Kwa wanaofatilia kupenda mziki wa hiphop kwao ni bonge moja ya furaha kama kweli anakuja uncle snoopy!!
Ni kweli thread nyingi nimesoma hapo juu inaonyesha hawajui umaarufu wa Snoop DO double G,huyu bwana kama ulivyosema ni rapper wa muda mrefu lakini bado pia yuko kwenye peak.Huyu ni msanii mkubwa sana, anaye heshimika kwenye anga za rap&hiphop music na ni kati ya wanamuziki wachache sana waliobaki ukiachilia mbali wale waliokwisha tangulia mbele za haki kama tupac& biggy.
Nyie mnaodai snoop ni mzee, mnajua kati ya Jayz na Snoop nani mzee?
Kwa wasio mfahamu, huyu ni kati ya wasanii wenye washabiki wengi sana duniani, na wala clouds hawajakosea kumleta na hii kazi clouds wala hawajaanza jana, kifupi wanaijua kuliko mnavyofikili nyinyi.
Ukisema clouds hawana hela ndiomana wanamleta msanii aliyechuja si kweli, kwani waliwaleta G unit, rick ross na wengine wengi tu wakiwa bado kwenye peak, mkumbuke hawa international artist mara nyingi ratiba zao zinakuwa finyu sana, tena hasa kwa sisi wa dunia ya tatu, kama tulivyoona kwa criss brown au hata Diamond kwa sasa.
Kama hamuamini njooni hiyo tarehe 5 pale leaders muone hilo shangwe lake.
Nyie wa zama hizi za akina meek mill,sijui Tyga mjue tu wanamuki sasa hivi hakuna, umebakia ujanja ujanja tu kama vile bongo ku survive.😀
.
Ni kweli thread nyingi nimesoma hapo juu inaonyesha hawajui umaarufu wa Snoop DO double G,huyu bwana kama ulivyosema ni rapper wa muda mrefu lakini bado yuko kwenye peak.
Mkuu ulishawahi kumuona Snoop kanenepa?Huyu jamaa kakonda mno dawa
Hebu igeuze kwa kinyume kisha uisome utaelewa maana yake niMkuu hio kauli niliwahi kuisikia juu juu
Unaweza kuifafanua kidogo
Booking mzeeww unaakili kuliko kamati yote ya maandalizi so wangekaa na chris till 4th of november THINK