ObieTrice
Senior Member
- Jun 27, 2017
- 159
- 154
SNURA: Chochote ukiamua utaweza hata mm nikiamua naweza tena sana bado tu sijaamua.....
Kwanza haya yalikua ni mazoezi tu,,,,,,unajua uswahilini kwetu siku hizi shughuli bila kibao kata hainogi tunakipenda mno na ili shughuli ikamilike lazima kiwepo......kwakua mimi ni msanii ninae fanya mziki wa uswahili nakuwakilisha vitaa vyote vya kiswazi nikaona show yangu niichanganye kidogo na kibaokata ili tuenjoy zaidi imeranduka........USWAZ RAHA
Kwanza haya yalikua ni mazoezi tu,,,,,,unajua uswahilini kwetu siku hizi shughuli bila kibao kata hainogi tunakipenda mno na ili shughuli ikamilike lazima kiwepo......kwakua mimi ni msanii ninae fanya mziki wa uswahili nakuwakilisha vitaa vyote vya kiswazi nikaona show yangu niichanganye kidogo na kibaokata ili tuenjoy zaidi imeranduka........USWAZ RAHA