Dear he is 21.. thus ana qualify kupumzika on this Saturday jamani...King'asti uko strict kwa vijana eeeh?? safi saana..
mie sitasahau malezi mazuri ya wazazi wangu na wanangu lazma warithi! kuna kitoto cha mtu kikikutembelea unatamani wknd iishe kirudi kwao manake hakijui hata kutandika kitanda. nimefundishwa 'u cant enjoy what u cant afford'. sasa huyu 21 hata kama shule kamaliza anahitaji kununua makalio/makochi! i doubt kama ana-afford kujirusha,lol!
by the way ashadii, anapumzika kwani kachoshwa na nini?
ha ha ha ... Nimekupata... Vipi dear umeolewa... kaka yangu mmoja anahangaika kweli...
watoto wa siku hizi wanaanza mambo ya stressa at the age of 16huyo mbona mtu mzima...lol
hehehe, sasa best yaani umenichunuku hadi wataka tufanye undugu kabisaa! huyo kakako nae is 21 and lonely?
mpaka afike 30 keshakuwa kibabu! sijui wanakimbilia nn! cartoons zoote kwenye tv afu anakuwa lonely,lol!
Ni 26 and lonely... (mdogo wangu...)
hapo inabidi sheria ya public procument itumike kuhakikisha fair competition! hebu muanzishie uzi tumgombee,mi sipendi ushindi wa mezani banaa.cartoons ar entertaining. ila huyu ambaye yumo jf and still lonely yy mwenyewe mind yake iko isolated. hw can u fail to keep urself entertained? lol
Ashadii na king'asti nendeni kule kweny sms anawasubiri nyie huku mnaendeleza topic...............
Dah.. tena kweli unakuaje lonely at JF... Hakuna haja...
wewe unafikiri hizo lips ataresist?? Labda tu aone za BJ
habari lako bi mkubwa..................
Pouwa kabisa Bacha... mzima weyeee???
mi nipo powa,
Ashahebu mkabidhisheemoshi kwa mdogo wako,
pengine unaweza kuta umempa msaada mkubwa sana.....