DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Yeswakati wa magufuli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeswakati wa magufuli?
Thank God kijamaa kimeshatupwa nje ya mfumo, atakuwa anajutia kauli zake za kukandamiza demokrasia na uhuru wa mahakama/judges
ulitaka atoe uamuzi kwa maslahi yako?So called Judge Ntemi Kilekamajenga hafai. He is a disgrace to the "family". Ni hawa hawa utawakuta wako Mahakama ya Rufaa! By what qualification? Kwa vile wanaweza kutoa maamuzi ya "kishenzi" kwa kutumwa na executive!
Judge anakataa kujitoa kwenye kesi contrary to law! ana malengo gani?
ZABRON PANGAMALEZA v JOACHIM KIWARAKA & ANOTHER ( ) [1987] TZCA 14; (01 October 1987); 1987 TLR 140 (TZCA)
For all these reasons I am satisfied that the Resident Magistrate was wrong in dismissing the appellant's suit. He should have stepped down from hearing the case after one of the parties has recused him.
(Najua Mods mtafuta) watakaowahi kusoma wanatosha!
Usituone wajingaungetulia walau ungeanza kunyosha kidole TLS,
Mtu moja apo kapose very important questions hapo, kwamba huyo judge anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa?
this is very bigining questions ulifaa ujiulize ccm na majaji wapi na wap sasa
Huyu tutahakikisha anadhalilika kwa kiwango cha kutishaSo called Judge Ntemi Kilekamajenga hafai. He is a disgrace to the "family". Ni hawa hawa utawakuta wako Mahakama ya Rufaa! By what qualification? Kwa vile wanaweza kutoa maamuzi ya "kishenzi" kwa kutumwa na executive!
Judge anakataa kujitoa kwenye kesi contrary to law! ana malengo gani?
ZABRON PANGAMALEZA v JOACHIM KIWARAKA & ANOTHER ( ) [1987] TZCA 14; (01 October 1987); 1987 TLR 140 (TZCA)
For all these reasons I am satisfied that the Resident Magistrate was wrong in dismissing the appellant's suit. He should have stepped down from hearing the case after one of the parties has recused him.
Pia soma
Dah,hivi hawa watangoka kweli [emoji1]
Ujinga unarekebishika, na kua ujanja, ukishupaza shingo utabaki ulivyo au utavunjika bila faida yeyete, kua chonjoUsituone wajinga
CCM ndo mama wa yote hayoUjinga unarekebishika, na kua ujanja, ukishupaza shingo utabaki ulivyo au utavunjika bila faida yeyete, kua chonjo
Yeye anafuata sheria ,Laumu wabunge wako maana ndo wanaotunga sharia.Usimlalamikie jaji.Yeye anaaply tu sheria zilizopitishwa na wabunge wenu.
ccm imeingiaje sasa kwa jaji 🤣
Lini na kinachojadiliwa hapa ni cha liniKamsikilize Pole Pole alichosema kuhusu Jaji Ntemi
moyo na akili kuathiriwa na kuchakazwa na siasa ni kitu mbaya sanaCCM ndo mama wa yote hayo
ungetulia walau ungeanza kunyosha kidole TLS,
Mtu moja apo kapose very important questions hapo, kwamba huyo judge anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa?
this is very bigining questions ulifaa ujiulize ccm na majaji wapi na wap sasa
Lini na kinachojadiliwa hapa ni cha lini
nadhani wew ndie umeghafilika kutokana na athari za kisiasa zilizokujaa sana akilini na nafsini mwako...Hamueleweki, Makonda akiwapa mawaziri maelekezo mnadai chama ndio Kiko juu ya mawaziri. Sasa na majaji wapo Chini ya CCM. Ndio maana Jaji kaiomba CCM impelekee majina ya mawakili wasumbufu. Hilo ni kosa, unaombaje watuhumiwa wewe Jaji?
As times goes ndio mdudu gani?nadhani wew ndie umeghafilika kutokana na athari za kisiasa zilizokujaa sana akilini na nafsini mwako...
as times goes hata ukijikwaa kwenye jiwe kwenye matembezi yako na uko pekeyako utasema hawa ni CCM tu [emoji1787]
kwasabb you are done saikolojikali, you can't think beyond CCM [emoji1787]
Kinachojadiliwa ni corraborative evidence. Mwabukusi Hana imani naye ila yeye kalazimisha kusimamia kesi, Sasa Leo umetoka ushahidi wa Polepole kuwa huyo Jaji huwa anaomba majina ya mawakili. Hilo tu ni kosa la kinidhamu na linaonesha Jaji yupo upande wa CCM.
nsamehe bure mku ni makosa ya kifasihi na uandishi.As times goes ndio mdudu gani?