So sad, kuwa kesho Jaji Ntemi Kilekamajenga utamkuta Mahakama ya Rufaa

Lakini nilimsikia Mwabukusi akisema hata wakimfuta uwakili yeye hana habari na wala hatishiki, sasa imekuwaje tena anaanza kuogopa matamshi yake mwenyewe!!?
 
ungetulia walau ungeanza kunyosha kidole TLS,

Mtu moja apo kapose very important questions hapo, kwamba huyo judge anapaswa kuwajibika au kuwajibishwa?
this is very bigining questions ulifaa ujiulize ccm na majaji wapi na wap sasa
Hivi Jaji anaupataje Ujaji bila mwenyekiti wa ccm kumteaua?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…