Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

Soccer Academy kwa watoto kuanzia miaka 3 na kuendelea

Kus Kas Pole

Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
35
Reaction score
47
Habari wana Jamii Forum.

Sisi ni Shining Sports Organization wamiliki wa Shining Sports Academy.
Ni Academy ya michezo mbali mbali ila kwa sasa tumeanza na mchezo wa soka.

Mazoezi yanafanyika viwanja vya Masaki Sports Park, Karume Road, Masaki.

Tunafanya session za watoto kwa ratiba ifuatayo;

Under 9
Tuesdays &Thursdays
4:30pm - 6:00pm
Saturday 9:30am - 11:00am

Under 7
Wednesdays & Fridays
5:00pm - 6:30pm
Saturdays 8:30am - 9:30am

Under 6
Wed & Fridays
4:00pm-5:00pm

Baby class
Mondays & Saturdays 4:00pm-5:00pm

Under 11
Fridays 6:00pm - 700pm
Saturdays - 05:00pm - 06:30pm
Mondays 5:30pm - 6:30pm

GHARAMA
Kwa Siku ni 20,000

Kwa mawasiliano zaidi
Piga/whatsapp
0655220039/0717508128

Karibu sana
 

Attachments

  • Blue Office Safety Work from Home Guidelines  - Made with PosterMyWall (3).jpg
    Blue Office Safety Work from Home Guidelines - Made with PosterMyWall (3).jpg
    123.9 KB · Views: 5
Kongole,
Vitu Kama Hizi Ni muhimu nchini kwetu,
Cristiano Ronaldo kapitia kwenye Hizi Hizi academy
 
Kongole,
Vitu Kama Hizi Ni muhimu nchini kwetu,
Cristiano Ronaldo kapitia kwenye Hizi Hizi academy
Ni kweli mkuu, ndo mda na sisi tupambane na haya mambo badae tuwe tunaangalia Taifa Stars kwenye international tournaments ikifanya vizuri.
 
Back
Top Bottom