BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,732
- 5,006
Kwakoo Mh. Amos, baba hali iliopo tumefurahi kuhimiza watu wavaee barakoa wanawe
Baada ya hapo naonba niweke wazi nilivhokiona jana basi za Tegeta - Kariakoo
Wapendwa kwa yanayoendelea kama basi zinaruhusiwa kujaza vile wataisha wataisha
Ukweli mabasi haya watu wanapumuliana live hakuna njia kama kuna mgonjwa humo ndani watu mkatoka salama ngumu sana
Tunaomba Mh Amos basi zote zisisi amishe watu. Mtu anapojaza siti anaondoka na wanapona amishe basi konda husika wekandani
Tusisubiri kusikia maiti zimejazana kama tunaweza kujilinda
Kila la kheri wote
Baada ya hapo naonba niweke wazi nilivhokiona jana basi za Tegeta - Kariakoo
Wapendwa kwa yanayoendelea kama basi zinaruhusiwa kujaza vile wataisha wataisha
Ukweli mabasi haya watu wanapumuliana live hakuna njia kama kuna mgonjwa humo ndani watu mkatoka salama ngumu sana
Tunaomba Mh Amos basi zote zisisi amishe watu. Mtu anapojaza siti anaondoka na wanapona amishe basi konda husika wekandani
Tusisubiri kusikia maiti zimejazana kama tunaweza kujilinda
Kila la kheri wote