SOCIAL ENGINEERING: Jinsi binadamu tunavyoandaliwa kuwa mazombi na maroboti bila kujua

SOCIAL ENGINEERING: Jinsi binadamu tunavyoandaliwa kuwa mazombi na maroboti bila kujua

How-to-Recognize-and-Overcome-Mind-Control-How-TV-Affects-Your-Brain-Chemistry-for-the-Worst-e1462108173291-1024x691.jpg

quote-if-we-understand-the-mechanism-and-motives-of-the-group-mind-it-is-now-possible-to-control-edward-bernays-69-66-17.jpg


Unaweza ukapaniki nitakapokwambia mawazo mengi unavyodhani ni yako sio yako ni vitu ulivyopandikiziwa Bila kujua. Sisi tunaamini uwepo wa Mungu na uumbaji tunaamini pia Mwanadamu aliumbwa na Uwezo huru wa kufikiri na kuchagua.

Vita kubwa inayoendelea Sasa chini ya ardhi sio dhidi ya Magaidi, waasi au religious extremists Bali ni kumuondolea mwanadamu zawadi hii ya pekee aliyopewa na Mungu na vita hivi hadi sasa imefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 50 duniani kote. Waandisi jamii ndio Moyo na silaha ya maangamizi katika vita hivi.

Media-Control-1764x700.jpg


Lengo la bandiko hili sio kutishana Bali ni kuongeza uelewe halisi wa mambo maana ushahidi usio na Shaka umeonyesha kujua michezo hii kutakupunguzia asilimia kubwa ya kuwa muhanga wa janga hili. Mambo haya yanafanyika kupitia Mind control techniques,Brain Washing techniques, subliminal sensations na vifaa vikubwa vinavyowezesha ni TV, Movies, Adverts, Social Media hivi ndio mama.

Zifuatazo ni jinsi 06 unavyoweza kunaswa katika mtego ya kutawaliwa bongo

1: Matangazo ya Biashara na Propaganda

img_pages_how-subliminal-messages-work_carl-jung-quote.jpg


Asilimia kubwa ya watu wanavyovaa, kula, kunywa, kunyoa style, aina ya vitu wanavyopenda sio matokeo ya uamuzi wao wa Hiyari Bali Matangazo na ushawishi wake. Leo duniani habari ikathibitika kama ni ya kweli, au kitu kitaonekana ni sahihi au kizuri au chafaa kutumika katika jamii kama kimeandikwa kwenye vyombo vya habari mbalimbali vya kimataifa visivyohusiana.

Lakin ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya habari zinazoenea duniani na asilimia kubwa ya vyombo vya habari vikubwa ulimwenguni vinamilikiwa na Makampuni sita tu tena yenye uhusiano wa karibu.

Kwa maana nyingine wanaweza kuamua kuja na habari yoyote kukuaminisha jambo lolote wakati wowote. Simaanishi tusiangalie habari Bali tujiongeze kwa akili zetu pia ktk kupambanua.

Kwa nini kuna uwezekano zikwepo jumbe (subliminal messages) ambazo zimechujwa na kurushwa kwenye media zote duniani Bila kujua asilimia kubwa zina uhusiano au Kuna mipango nyuma ya propaganda hizo.

Leo Kuna watu wanawachukia waarabu kwa sababu media zimesema, na Kuna watu wanawachukia wamarekani kwa sababu media zimesema wanawaonea waarabu.

Mfano kwenda kuangalia Movies ukiwa na Bisi na Soda au wanawake kuacha vifua nusu wazi au kutamani kuwa na vifua/boobs vikubwa wengi sio kwa hiyari zao bali ni matokea ya group thinking inayotokea kidogo kidogo ila kwa uhakika.

2: Watu kupangwa kukubali matukio kabla hayajatokea /Predictive programming

alias57nw4.jpg

blogger-image--523631323.jpg


Dhana hii bado wengi haiwaingii akilini. Kubadilika muonekano hasa wa dada kwa wiki anaweza kutokea kwa mionekano kama saba tofauti hii ni product ya hollywood and media programming, Leo tunaweza kumkadiria nani gaidi, nani mwema, Nani wa kumuogopa, nani anaongea ukweli sio kwa akili zetu bali kwa mawazo tuliyaamini kupitia pre-programmed agendas.

Hii mbinu inatumika kwa mapana na kwa Muda mrefu hasa kupitia werevu wa Hollywood. Kuna vitu vingi ambayo zamani vilionekana kama ni fiction lkn Sasa katika jamii vimekubalika.

Mfano mdogo kwenye cartoons Mind Blowing Examples of Predictive Programming in Cartoons | The Ghost Diaries

3: Michezo, Dini na Siasa na Ushabiki wa Mipira ya kimataifa

master_of_puppets_by_skippywoodfood.png


Vitu hivi navyo kwa sehemu Kubwa vimechukua sehemu ya fikra za mwanadamu huru. Tuliwaona wafuasi wa kibwetele wakiteketea kwa moto kanisani ili waende mbinguni kama matokeo ya kutawaliwa fikra na kuoshwa ubongo.

Michezo ilipaswa kuwa sababu kubwa kuleta umoja na afya, leo imekuwa kichocheo cha uadui kama zilivyo siasa. Umoja wa msingi kwa mambo yenye manufaa umekufa kutokana na akili zinazokumbatia mipasuko ya kisiasa, michezo na dini. Ukiangalia duniani hakuna vita ambayo dini na siasa haitakuwepo hata kwa mbali.

4: Vyakula, Vinywaji na Hewa

8391.jpg


Tunaishi kwenye dunia ambayo Mtu akiishi chini ya hewa bandia ndio tunamsifia na kumuona anapewa na ndio wa kuigwa, vyakula vilivyojaa sumu, maji yaliyojaa contents ambazo zingine hazieleweki kwa nini siwepo na kwa kiwango hicho ndiyo vinavyosisitizwa kila kona hata penye uwezekano wa kupatikana vitu Asili na original. Vitu hivi vimethibitika kushusha Uwezo wa kiakili, vingine vinahamasisha hasira na jazba, vingine vinadhoofisha Uwezo wote wa mwanadamu taratibu ila kwa uhakika.

5: Madawa na addictions

aa-Big-Pharma-Dees-great-one.jpg


Lengo kuu la wenye hekima na werevu wachache duniani ni kuhakikisha kila mmoja anakuwa addicted na kitu kinachomshusha Uwezo wake, kama sio drugs, movies, football, video games, pornography, chochote kile. Silaha kubwa ni kuhamasishwa kwa uwepo wa gonjwa la akili au saikolojia na kuwafafaua au kuwaelezea watu wote duniani au kwenye taifa flani kwa mwelekeo wa ugonjwa wa akili badala ya mwelekeo wa Uwezo wa mwanadamu kiakili.

Na madhara yake wengi wanajikuta wako katika misongo na kujishuku kama wako Sawa, na hii inatengeneza mwanya wa kuweka rehani Uwezo wake wa kibinadamu na kukabidhi wengine wampangie cha kufanya.

6: Computers, TV na Smartphone/simu

images

images


Vitu hivi vyote sio vibaya, ila kwa dunia ya Sasa vimetengeneza uteja kw kuweka visismuzi vitakavyokufanya usibanduke. Social engineers au wahandisi jamii wanaweka vitu vitakavyokufanya usibanduke na kuwepo kwako mbele ya screen kwa muda mrefu.

Kuna effects hadi ndani ya ubongo. Melatonin ni hormone inayotawala mzunguko wa usingizi kwa mwanadamu. Adui namba moja wa hormone hii ni mwanga hasa pale unapohitaji usingizi. Kukaa mbele ya kioo muda mrefu hasa usiku kutaathiri mzunguko wako wa usingizi. Kumbuka pale tunapolala ndipo ubongo unapata muda wa kujifanya usafi na kujiweka Sawa. Madhara ya kukaa na simu au mbele ya TV muda mrefu hasa usikuni kutengeneza shambani la kujitoa muhanga dhidi ya ubongo wako.

Mwisho :mwanadamu ni kiumbe mwenye Uwezo mkubwa, kuweka rehani Uwezo huu na kutufanya kuwa watumwa wawanadamu wenzetu ni kitu cha kukiepuka na kukikwepa sana. Unaweza usiamini au ukaamini ila lengo hapa nikuongeza ufahamu wa mambo ili kuongeza uelewe zaidi wa mienendo yetu.

Nini kifanyike?

Njia kuu ni kuwekeza zaidi ktk kusoma vitabu vinavyofikirisha na kukufanya utoe maoni yako kabla upinge au uunge mkono. Movies, TV programs nyingi, news nyingi zimekuwa programmed kukusisimua na sio kukufikirisha. Vipindi na scripts nyingi zinapelekwa haraka haraka ili ukoswe muda wa kufikiri.

Kama unaamini bibilia chukua Muda jisomee pia inashauriwa ujiunge na vikundi au taasisi za kidini zinazotoa kipaumbele mijadala yenye changamoto na sio kuburuzwa na kuambiwa cha kufanya muda wote.

Jifunze jinsi ubongo unavyofanya kazi hasa sehemu za Conscious na Subconscious Minds.

Karibuni kwa mawazo na changamoto..
Huu ni mtego wa panya, kwa maana unanasa wote, tamaa za kipuuzi tu
 
How-to-Recognize-and-Overcome-Mind-Control-How-TV-Affects-Your-Brain-Chemistry-for-the-Worst-e1462108173291-1024x691.jpg

quote-if-we-understand-the-mechanism-and-motives-of-the-group-mind-it-is-now-possible-to-control-edward-bernays-69-66-17.jpg


Unaweza ukapaniki nitakapokwambia mawazo mengi unavyodhani ni yako sio yako ni vitu ulivyopandikiziwa Bila kujua. Sisi tunaamini uwepo wa Mungu na uumbaji tunaamini pia Mwanadamu aliumbwa na Uwezo huru wa kufikiri na kuchagua.

Vita kubwa inayoendelea Sasa chini ya ardhi sio dhidi ya Magaidi, waasi au religious extremists Bali ni kumuondolea mwanadamu zawadi hii ya pekee aliyopewa na Mungu na vita hivi hadi sasa imefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 50 duniani kote. Waandisi jamii ndio Moyo na silaha ya maangamizi katika vita hivi.

Media-Control-1764x700.jpg


Lengo la bandiko hili sio kutishana Bali ni kuongeza uelewe halisi wa mambo maana ushahidi usio na Shaka umeonyesha kujua michezo hii kutakupunguzia asilimia kubwa ya kuwa muhanga wa janga hili. Mambo haya yanafanyika kupitia Mind control techniques,Brain Washing techniques, subliminal sensations na vifaa vikubwa vinavyowezesha ni TV, Movies, Adverts, Social Media hivi ndio mama.

Zifuatazo ni jinsi 06 unavyoweza kunaswa katika mtego ya kutawaliwa bongo

1: Matangazo ya Biashara na Propaganda

img_pages_how-subliminal-messages-work_carl-jung-quote.jpg


Asilimia kubwa ya watu wanavyovaa, kula, kunywa, kunyoa style, aina ya vitu wanavyopenda sio matokeo ya uamuzi wao wa Hiyari Bali Matangazo na ushawishi wake. Leo duniani habari ikathibitika kama ni ya kweli, au kitu kitaonekana ni sahihi au kizuri au chafaa kutumika katika jamii kama kimeandikwa kwenye vyombo vya habari mbalimbali vya kimataifa visivyohusiana.

Lakin ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya habari zinazoenea duniani na asilimia kubwa ya vyombo vya habari vikubwa ulimwenguni vinamilikiwa na Makampuni sita tu tena yenye uhusiano wa karibu.

Kwa maana nyingine wanaweza kuamua kuja na habari yoyote kukuaminisha jambo lolote wakati wowote. Simaanishi tusiangalie habari Bali tujiongeze kwa akili zetu pia ktk kupambanua.

Kwa nini kuna uwezekano zikwepo jumbe (subliminal messages) ambazo zimechujwa na kurushwa kwenye media zote duniani Bila kujua asilimia kubwa zina uhusiano au Kuna mipango nyuma ya propaganda hizo.

Leo Kuna watu wanawachukia waarabu kwa sababu media zimesema, na Kuna watu wanawachukia wamarekani kwa sababu media zimesema wanawaonea waarabu.

Mfano kwenda kuangalia Movies ukiwa na Bisi na Soda au wanawake kuacha vifua nusu wazi au kutamani kuwa na vifua/boobs vikubwa wengi sio kwa hiyari zao bali ni matokea ya group thinking inayotokea kidogo kidogo ila kwa uhakika.

2: Watu kupangwa kukubali matukio kabla hayajatokea /Predictive programming

alias57nw4.jpg

blogger-image--523631323.jpg


Dhana hii bado wengi haiwaingii akilini. Kubadilika muonekano hasa wa dada kwa wiki anaweza kutokea kwa mionekano kama saba tofauti hii ni product ya hollywood and media programming, Leo tunaweza kumkadiria nani gaidi, nani mwema, Nani wa kumuogopa, nani anaongea ukweli sio kwa akili zetu bali kwa mawazo tuliyaamini kupitia pre-programmed agendas.

Hii mbinu inatumika kwa mapana na kwa Muda mrefu hasa kupitia werevu wa Hollywood. Kuna vitu vingi ambayo zamani vilionekana kama ni fiction lkn Sasa katika jamii vimekubalika.

Mfano mdogo kwenye cartoons Mind Blowing Examples of Predictive Programming in Cartoons | The Ghost Diaries

3: Michezo, Dini na Siasa na Ushabiki wa Mipira ya kimataifa

master_of_puppets_by_skippywoodfood.png


Vitu hivi navyo kwa sehemu Kubwa vimechukua sehemu ya fikra za mwanadamu huru. Tuliwaona wafuasi wa kibwetele wakiteketea kwa moto kanisani ili waende mbinguni kama matokeo ya kutawaliwa fikra na kuoshwa ubongo.

Michezo ilipaswa kuwa sababu kubwa kuleta umoja na afya, leo imekuwa kichocheo cha uadui kama zilivyo siasa. Umoja wa msingi kwa mambo yenye manufaa umekufa kutokana na akili zinazokumbatia mipasuko ya kisiasa, michezo na dini. Ukiangalia duniani hakuna vita ambayo dini na siasa haitakuwepo hata kwa mbali.

4: Vyakula, Vinywaji na Hewa

8391.jpg


Tunaishi kwenye dunia ambayo Mtu akiishi chini ya hewa bandia ndio tunamsifia na kumuona anapewa na ndio wa kuigwa, vyakula vilivyojaa sumu, maji yaliyojaa contents ambazo zingine hazieleweki kwa nini siwepo na kwa kiwango hicho ndiyo vinavyosisitizwa kila kona hata penye uwezekano wa kupatikana vitu Asili na original. Vitu hivi vimethibitika kushusha Uwezo wa kiakili, vingine vinahamasisha hasira na jazba, vingine vinadhoofisha Uwezo wote wa mwanadamu taratibu ila kwa uhakika.

5: Madawa na addictions

aa-Big-Pharma-Dees-great-one.jpg


Lengo kuu la wenye hekima na werevu wachache duniani ni kuhakikisha kila mmoja anakuwa addicted na kitu kinachomshusha Uwezo wake, kama sio drugs, movies, football, video games, pornography, chochote kile. Silaha kubwa ni kuhamasishwa kwa uwepo wa gonjwa la akili au saikolojia na kuwafafaua au kuwaelezea watu wote duniani au kwenye taifa flani kwa mwelekeo wa ugonjwa wa akili badala ya mwelekeo wa Uwezo wa mwanadamu kiakili.

Na madhara yake wengi wanajikuta wako katika misongo na kujishuku kama wako Sawa, na hii inatengeneza mwanya wa kuweka rehani Uwezo wake wa kibinadamu na kukabidhi wengine wampangie cha kufanya.

6: Computers, TV na Smartphone/simu

images

images


Vitu hivi vyote sio vibaya, ila kwa dunia ya Sasa vimetengeneza uteja kw kuweka visismuzi vitakavyokufanya usibanduke. Social engineers au wahandisi jamii wanaweka vitu vitakavyokufanya usibanduke na kuwepo kwako mbele ya screen kwa muda mrefu.

Kuna effects hadi ndani ya ubongo. Melatonin ni hormone inayotawala mzunguko wa usingizi kwa mwanadamu. Adui namba moja wa hormone hii ni mwanga hasa pale unapohitaji usingizi. Kukaa mbele ya kioo muda mrefu hasa usiku kutaathiri mzunguko wako wa usingizi. Kumbuka pale tunapolala ndipo ubongo unapata muda wa kujifanya usafi na kujiweka Sawa. Madhara ya kukaa na simu au mbele ya TV muda mrefu hasa usikuni kutengeneza shambani la kujitoa muhanga dhidi ya ubongo wako.

Mwisho :mwanadamu ni kiumbe mwenye Uwezo mkubwa, kuweka rehani Uwezo huu na kutufanya kuwa watumwa wawanadamu wenzetu ni kitu cha kukiepuka na kukikwepa sana. Unaweza usiamini au ukaamini ila lengo hapa nikuongeza ufahamu wa mambo ili kuongeza uelewe zaidi wa mienendo yetu.

Nini kifanyike?

Njia kuu ni kuwekeza zaidi ktk kusoma vitabu vinavyofikirisha na kukufanya utoe maoni yako kabla upinge au uunge mkono. Movies, TV programs nyingi, news nyingi zimekuwa programmed kukusisimua na sio kukufikirisha. Vipindi na scripts nyingi zinapelekwa haraka haraka ili ukoswe muda wa kufikiri.

Kama unaamini bibilia chukua Muda jisomee pia inashauriwa ujiunge na vikundi au taasisi za kidini zinazotoa kipaumbele mijadala yenye changamoto na sio kuburuzwa na kuambiwa cha kufanya muda wote.

Jifunze jinsi ubongo unavyofanya kazi hasa sehemu za Conscious na Subconscious Minds.

Karibuni kwa mawazo na changamoto..
Kweli kabsa mkuu cku hzi watu wanavaa sawa wanaongea sawa wanapenda vitu sawa.Hapa tz Ndo kabisa vjana tunaisha madawa ya kulevya suruali za kuchanika mapaja kutokupenda elimu Na kufikiria kukithiri kwa ngono za jinsia moja vyote hvi vumetokana Na Uwepo wa baadhi ya mkundi ya watu wanaotaka kuitawala dunia kwa kudumazaa jamii haswa haswa dunia za tatu.
 
Fantastic my friend sema Ni wachache watakaokuelewa.
We are brain washed
Tel vision Program. They program ur vision.
Wanakuambia kipi cha kufikiri na sio jinsi ya kufikiri.
 
Nimewahi kuwaza sana juu ya soda bia viroba wine na pombe za kienyeji. Ukinywa safari unalewa lakini unakuwa na hisia tofauti na ukinywa serengeti au kilimanjaro au tusker japo zote ni bia na zinalewesha. Na ukinywa bia aina ya kibo unakuwa umelewa lakini unaona vizuri sana na kuwaza mambo ya maisha mazuri tu sio shida. Ila mtu aliyekunywa banana au mbege au mtukuru au ulanzi mara nyingi wanaathirika postive maa a akiwa anarudi nyumbani lazma umsikie anaimba sana tena nyimbo za kumsifu Mungu. Y this??
Siku hizi kuna maziwa ya unga. Kiukweli sijasoma sayansi ila maziwa hayawezi kuwa unga hata siku moja na watumiaji wazuri ni mtu aliyesoma na tajiri. Ndio maana nasemaga kusoma sio kipimo cha elimu yako na kutajirika sio kuwa na akili. Masai hakuwa fala kukimbilia porini na kuwaachia wazungu arusha. Bandiko hili linahitimisha utabiri wa kinabii naona yote yaliyopo yamesemwa. Eti israel taifa teule???
Tz je? Na wanaikandia misri kwa sababu ni ya watu weusi. Hizi propaganda jamani.
Yesu wahi tu mi nimechoka bwana.
 
Nakupata mkuu asigwa. Kwa kujua haya yanasaidia angalau kuwa makini na maamuzi yetu madogo na makubwa, Ni kazi kuepuka ila angalau kujua haya mambo yapo inakuweka huru kwa asilimia flani.
Kujitambua kuna maana kubwa sana juu ya maamuzi ya mwanadamu
 
How-to-Recognize-and-Overcome-Mind-Control-How-TV-Affects-Your-Brain-Chemistry-for-the-Worst-e1462108173291-1024x691.jpg

quote-if-we-understand-the-mechanism-and-motives-of-the-group-mind-it-is-now-possible-to-control-edward-bernays-69-66-17.jpg


Unaweza ukapaniki nitakapokwambia mawazo mengi unavyodhani ni yako sio yako ni vitu ulivyopandikiziwa Bila kujua. Sisi tunaamini uwepo wa Mungu na uumbaji tunaamini pia Mwanadamu aliumbwa na Uwezo huru wa kufikiri na kuchagua.

Vita kubwa inayoendelea Sasa chini ya ardhi sio dhidi ya Magaidi, waasi au religious extremists Bali ni kumuondolea mwanadamu zawadi hii ya pekee aliyopewa na Mungu na vita hivi hadi sasa imefanikiwa kwa zaidi ya asilimia 50 duniani kote. Waandisi jamii ndio Moyo na silaha ya maangamizi katika vita hivi.

Media-Control-1764x700.jpg


Lengo la bandiko hili sio kutishana Bali ni kuongeza uelewe halisi wa mambo maana ushahidi usio na Shaka umeonyesha kujua michezo hii kutakupunguzia asilimia kubwa ya kuwa muhanga wa janga hili. Mambo haya yanafanyika kupitia Mind control techniques,Brain Washing techniques, subliminal sensations na vifaa vikubwa vinavyowezesha ni TV, Movies, Adverts, Social Media hivi ndio mama.

Zifuatazo ni jinsi 06 unavyoweza kunaswa katika mtego ya kutawaliwa bongo

1: Matangazo ya Biashara na Propaganda

img_pages_how-subliminal-messages-work_carl-jung-quote.jpg


Asilimia kubwa ya watu wanavyovaa, kula, kunywa, kunyoa style, aina ya vitu wanavyopenda sio matokeo ya uamuzi wao wa Hiyari Bali Matangazo na ushawishi wake. Leo duniani habari ikathibitika kama ni ya kweli, au kitu kitaonekana ni sahihi au kizuri au chafaa kutumika katika jamii kama kimeandikwa kwenye vyombo vya habari mbalimbali vya kimataifa visivyohusiana.

Lakin ukweli ni kwamba asilimia kubwa ya habari zinazoenea duniani na asilimia kubwa ya vyombo vya habari vikubwa ulimwenguni vinamilikiwa na Makampuni sita tu tena yenye uhusiano wa karibu.

Kwa maana nyingine wanaweza kuamua kuja na habari yoyote kukuaminisha jambo lolote wakati wowote. Simaanishi tusiangalie habari Bali tujiongeze kwa akili zetu pia ktk kupambanua.

Kwa nini kuna uwezekano zikwepo jumbe (subliminal messages) ambazo zimechujwa na kurushwa kwenye media zote duniani Bila kujua asilimia kubwa zina uhusiano au Kuna mipango nyuma ya propaganda hizo.

Leo Kuna watu wanawachukia waarabu kwa sababu media zimesema, na Kuna watu wanawachukia wamarekani kwa sababu media zimesema wanawaonea waarabu.

Mfano kwenda kuangalia Movies ukiwa na Bisi na Soda au wanawake kuacha vifua nusu wazi au kutamani kuwa na vifua/boobs vikubwa wengi sio kwa hiyari zao bali ni matokea ya group thinking inayotokea kidogo kidogo ila kwa uhakika.

2: Watu kupangwa kukubali matukio kabla hayajatokea /Predictive programming

alias57nw4.jpg

blogger-image--523631323.jpg


Dhana hii bado wengi haiwaingii akilini. Kubadilika muonekano hasa wa dada kwa wiki anaweza kutokea kwa mionekano kama saba tofauti hii ni product ya hollywood and media programming, Leo tunaweza kumkadiria nani gaidi, nani mwema, Nani wa kumuogopa, nani anaongea ukweli sio kwa akili zetu bali kwa mawazo tuliyaamini kupitia pre-programmed agendas.

Hii mbinu inatumika kwa mapana na kwa Muda mrefu hasa kupitia werevu wa Hollywood. Kuna vitu vingi ambayo zamani vilionekana kama ni fiction lkn Sasa katika jamii vimekubalika.

Mfano mdogo kwenye cartoons Mind Blowing Examples of Predictive Programming in Cartoons | The Ghost Diaries

3: Michezo, Dini na Siasa na Ushabiki wa Mipira ya kimataifa

master_of_puppets_by_skippywoodfood.png


Vitu hivi navyo kwa sehemu Kubwa vimechukua sehemu ya fikra za mwanadamu huru. Tuliwaona wafuasi wa kibwetele wakiteketea kwa moto kanisani ili waende mbinguni kama matokeo ya kutawaliwa fikra na kuoshwa ubongo.

Michezo ilipaswa kuwa sababu kubwa kuleta umoja na afya, leo imekuwa kichocheo cha uadui kama zilivyo siasa. Umoja wa msingi kwa mambo yenye manufaa umekufa kutokana na akili zinazokumbatia mipasuko ya kisiasa, michezo na dini. Ukiangalia duniani hakuna vita ambayo dini na siasa haitakuwepo hata kwa mbali.

4: Vyakula, Vinywaji na Hewa

8391.jpg


Tunaishi kwenye dunia ambayo Mtu akiishi chini ya hewa bandia ndio tunamsifia na kumuona anapewa na ndio wa kuigwa, vyakula vilivyojaa sumu, maji yaliyojaa contents ambazo zingine hazieleweki kwa nini siwepo na kwa kiwango hicho ndiyo vinavyosisitizwa kila kona hata penye uwezekano wa kupatikana vitu Asili na original. Vitu hivi vimethibitika kushusha Uwezo wa kiakili, vingine vinahamasisha hasira na jazba, vingine vinadhoofisha Uwezo wote wa mwanadamu taratibu ila kwa uhakika.

5: Madawa na addictions

aa-Big-Pharma-Dees-great-one.jpg


Lengo kuu la wenye hekima na werevu wachache duniani ni kuhakikisha kila mmoja anakuwa addicted na kitu kinachomshusha Uwezo wake, kama sio drugs, movies, football, video games, pornography, chochote kile. Silaha kubwa ni kuhamasishwa kwa uwepo wa gonjwa la akili au saikolojia na kuwafafaua au kuwaelezea watu wote duniani au kwenye taifa flani kwa mwelekeo wa ugonjwa wa akili badala ya mwelekeo wa Uwezo wa mwanadamu kiakili.

Na madhara yake wengi wanajikuta wako katika misongo na kujishuku kama wako Sawa, na hii inatengeneza mwanya wa kuweka rehani Uwezo wake wa kibinadamu na kukabidhi wengine wampangie cha kufanya.

6: Computers, TV na Smartphone/simu

images

images


Vitu hivi vyote sio vibaya, ila kwa dunia ya Sasa vimetengeneza uteja kw kuweka visismuzi vitakavyokufanya usibanduke. Social engineers au wahandisi jamii wanaweka vitu vitakavyokufanya usibanduke na kuwepo kwako mbele ya screen kwa muda mrefu.

Kuna effects hadi ndani ya ubongo. Melatonin ni hormone inayotawala mzunguko wa usingizi kwa mwanadamu. Adui namba moja wa hormone hii ni mwanga hasa pale unapohitaji usingizi. Kukaa mbele ya kioo muda mrefu hasa usiku kutaathiri mzunguko wako wa usingizi. Kumbuka pale tunapolala ndipo ubongo unapata muda wa kujifanya usafi na kujiweka Sawa. Madhara ya kukaa na simu au mbele ya TV muda mrefu hasa usikuni kutengeneza shambani la kujitoa muhanga dhidi ya ubongo wako.

Mwisho :mwanadamu ni kiumbe mwenye Uwezo mkubwa, kuweka rehani Uwezo huu na kutufanya kuwa watumwa wawanadamu wenzetu ni kitu cha kukiepuka na kukikwepa sana. Unaweza usiamini au ukaamini ila lengo hapa nikuongeza ufahamu wa mambo ili kuongeza uelewe zaidi wa mienendo yetu.

Nini kifanyike?

Njia kuu ni kuwekeza zaidi ktk kusoma vitabu vinavyofikirisha na kukufanya utoe maoni yako kabla upinge au uunge mkono. Movies, TV programs nyingi, news nyingi zimekuwa programmed kukusisimua na sio kukufikirisha. Vipindi na scripts nyingi zinapelekwa haraka haraka ili ukoswe muda wa kufikiri.

Kama unaamini bibilia chukua Muda jisomee pia inashauriwa ujiunge na vikundi au taasisi za kidini zinazotoa kipaumbele mijadala yenye changamoto na sio kuburuzwa na kuambiwa cha kufanya muda wote.

Jifunze jinsi ubongo unavyofanya kazi hasa sehemu za Conscious na Subconscious Minds.

Karibuni kwa mawazo na changamoto..
Mkuu baada ya kusoma makala zako kadhaa, ninakuona kama mtu unayejielekeza kwenye masuala ya kutaka kufikiri vyema, ila unaponzwa na imani ya dini uliyoipokea.
Kiukweli unatakiwa ujue kuwa dini yoyote ile iwe ya kikristo, kiistamu, kibudha e.t.c. . Hakuna dini hata moja yenye lengo la kukutaka wewe ufikiri. . . No and it will never be. . .!!!!

Unachotakiwa ujiulize na kujijibu kama msomi ni kuwa kwanini mataifa makubwa yote yanatekeleza misheni zao kupitia mgongo wa dini? -jibu simple ni kuwa wengi wanafahamu kuwa hyo ndiyo njia rahisi ya kuwaingia watu na kuwatawala kisha kuingiza ishu zako wanazozitaka , huku wakiwa wameshauwa reasoning zao.
Dini kubwa zote zimetokana na mataifa yenye nguvu. . . . JIULIZE KWA NINI. .?? . Na hao hao ndio wanaochangia kuharibu hii dunia kwa kasi kubwa.
Ninachotaka kukwambia hapa ni kuwa hawa wakubwa wanatumia dini kama vivuli tu ila wana ishu zao nyingine kabisa. Believe me wapo wanaotumia dini kwa mema ila wengi si hivyo.

Hao unaoona wanatumia dini kusema mtu afikiri hawajui misingi ya dini; kiukwel ni kuwa dini yeyote inamtaka mtu kuamini kwanza kisha mengine yafuatwe. . . Amini tu, na uwe na imani full stop. Ukihoji ktk dini yoyote wanaku-regard kama MUASI - Refer history ya mababu zetu hasa walijaribu kuchallenge bible. .

Hvyo kama wewe unasema ni critical thinker na bado unajiattach na dini, basi we ni either mlaghai au hujui historia ya dini/kanisa/biblia vizuri. Kaa chini tukujuze. . .
Usikurupuke hata siku moja kuandika masuala ya thinking huku ukichanganya na mambo ya dini/imani ndani yake. .
 
ukizungumzia watu wajiunge na vikundi vya dini inamaana na wewe unahamasisha watu wazidi kuwa mazombi.
 
Mkuu baada ya kusoma makala zako kadhaa, ninakuona kama mtu unayejielekeza kwenye masuala ya kutaka kufikiri vyema, ila unaponzwa na imani ya dini uliyoipokea.
Kiukweli unatakiwa ujue kuwa dini yoyote ile iwe ya kikristo, kiistamu, kibudha e.t.c. . Hakuna dini hata moja yenye lengo la kukutaka wewe ufikiri. . . No and it will never be. . .!!!!

Unachotakiwa ujiulize na kujijibu kama msomi ni kuwa kwanini mataifa makubwa yote yanatekeleza misheni zao kupitia mgongo wa dini? -jibu simple ni kuwa wengi wanafahamu kuwa hyo ndiyo njia rahisi ya kuwaingia watu na kuwatawala kisha kuingiza ishu zako wanazozitaka , huku wakiwa wameshauwa reasoning zao.
Dini kubwa zote zimetokana na mataifa yenye nguvu. . . . JIULIZE KWA NINI. .?? . Na hao hao ndio wanaochangia kuharibu hii dunia kwa kasi kubwa.
Ninachotaka kukwambia hapa ni kuwa hawa wakubwa wanatumia dini kama vivuli tu ila wana ishu zao nyingine kabisa. Believe me wapo wanaotumia dini kwa mema ila wengi si hivyo.

Hao unaoona wanatumia dini kusema mtu afikiri hawajui misingi ya dini; kiukwel ni kuwa dini yeyote inamtaka mtu kuamini kwanza kisha mengine yafuatwe. . . Amini tu, na uwe na imani full stop. Ukihoji ktk dini yoyote wanaku-regard kama MUASI - Refer history ya mababu zetu hasa walijaribu kuchallenge bible. .

Hvyo kama wewe unasema ni critical thinker na bado unajiattach na dini, basi we ni either mlaghai au hujui historia ya dini/kanisa/biblia vizuri. Kaa chini tukujuze. . .
Usikurupuke hata siku moja kuandika masuala ya thinking huku ukichanganya na mambo ya dini/imani ndani yake. .
Sijui sana kuhusu hoja yako. Ila naamini Bibilia ni kitabu safi chenye uwezo wa kumfungua mwanadamu Bongo na kuwa huru zaidi. Dini zinaonekana na zinazidi kuwa hatarishi kutokana na kuibuka kwa watu wanaotumia bibilia kama too ya kubrainwash watu na kuwafanya watumwa. Nilimosema dini nilimaanisha Concious religious experience sio fuata mkumbo.
Binafsi naamini Bibilia na Imeniongezea dimension Ya imani na Amani ambazo hazipo kwenye vyanzo vingine maana naamini kwa kuelewa sio kuambiwa na kukariri.

Ninajua dini nyingi zitatumika kama vichocheo vya uovu, lakini hii haibatilishi ukweli kwamba Bibilia kama chanzo cha imani ninayoisisitiza ipo sahihi na hata hao unaowaona kama wanapotosha dini kwenye bibilia imeonya na kuwataadhalisha wasomaji wake mchana kweupe.

Naungana na Paulo wa kwenye bibilia ambaye alikuwa Great and critical thinker hadi baadhi ya maandiko yake yanawachanganya watu.
Aliwahi kupambana na great thinkers wa ugiriki kwa hoja na akawashinda. Na alipandishwa areopagus jukwaa ambao walisiamama critical thinkers, Great thinkers na elite philosophers na wakamsikiliza kwa hiyo hoja zako zote mkuu ni mfu.

Kama unaamini Bibilia kwa kufikiri na Imani mambo ambayo yako beyond science and evidence unakuwa na Double profit katika ulimwengu wa watu wanaofikiri sahihi.

Usipotoshe kwa kuwa umezungukwa na wapotoshaji au watu wanaodhalilisha image za imani
 
Sijui sana kuhusu hoja yako. Ila naamini Bibilia ni kitabu safi chenye uwezo wa kumfungua mwanadamu Bongo na kuwa huru zaidi. Dini zinaonekana na zinazidi kuwa hatarishi kutokana na kuibuka kwa watu wanaotumia bibilia kama too ya kubrainwash watu na kuwafanya watumwa. Nilimosema dini nilimaanisha Concious religious experience sio fuata mkumbo.
Binafsi naamini Bibilia na Imeniongezea dimension Ya imani na Amani ambazo hazipo kwenye vyanzo vingine maana naamini kwa kuelewa sio kuambiwa na kukariri.

Ninajua dini nyingi zitatumika kama vichocheo vya uovu, lakini hii haibatilishi ukweli kwamba Bibilia kama chanzo cha imani ninayoisisitiza ipo sahihi na hata hao unaowaona kama wanapotosha dini kwenye bibilia imeonya na kuwataadhalisha wasomaji wake mchana kweupe
Naomba nianze kukujibu kama ifuatavyo :-
1.Umesema hujui sana kuhusu hoja yangu - Hii inatosha kuku-disqualify kuwa hili eneo hulijui vizuri .
2. Umesema "Ila naamini Bibilia ni kitabu safi chenye uwezo wa kumfungua mwanadamu Bongo na kuwa huru zaidi" - Hapa nabisha kuwa kinaweza kukufungua bongo kwa kiasi fulani ila kitakunyima uhuru
3. Umesema " Dini zinaonekana na zinazidi kuwa hatarishi kutokana na kuibuka kwa watu wanaotumia bibilia kama tool ya kubrainwash watu na kuwafanya watumwa" - kwahyo hapa unakubaliana na mimi sio.
4. Unapozingumzia Concious religious experience sio fuata mkumbo unamaanisha dini gani hizo ni Concious na zipi ni fuata mkumbo

NAOMBA NIKUSHAURI KUWA, BIBLIA NI PANA SANA NA SIO SIMPLE KAMA UNAVYOTAKA WATU WAAMINI-Kiufupi ni kuwa ndani ya bible kumejaa kila aina ya elimu iwe nzuri au mbaya. . . Ndio maana kwa mfano mdogo wa pombe mm naweza tumia biblia itetea na hapohapo nikabadilika na kutumia biblia hiyohyo kuipinga pombe-kama ulikuwa hujui hilo nitafute.
Na sio suala la pombe tu , mambo mengi kwenye bible yameandikwa kama katazo ila ukisoma zaidi na kupekuwa bible utaona yameruhusiwa. Mfano mwingine ni kuua -ktk agano la kale Mungu mwenyewe ndio alikuwa akiruhusu na kuamuru kuua ila agano jipya anabadilika na kisema tusiue. Hiyo ni mifano myepesi tu. . Ipo na mingine zaidi.

Ninachotaka kusema hapa ni kuwa katafute ASILI YA BIBLIA ni nini ndio utaelewa waliyoiweka na kuiandika bible walikuwa kina nani na kwann waliiandika. . Usije ukanijia na majibu yako kuwa iliandikwa kwa uwezo wa roho mtakatifu -nitakucheka sana maana utakuwa hufahamu lolote ila kukaririshwa.

Unavosema Bible imekisaidia kufikiri ni kweli inawezekana ila kwa ufupi ni kuwa ktk biblia wachache sana inawakuza ktk kufikiri ila wengi wanaangukia ktk kukariri na kuamin pasipo ushirikishwaji wa akili.

Inaezekana kweli wewe kama wewe imekusaidia ila usijaribu ku-generalize kwa watu wote , maana kila mmoja huipokea biblia kivyake. Na tambua kuwa biblia ni pana sana tena sana. .
Kila siku tafsiri/mafunuo mapya yanatoka
 
Sijui sana kuhusu hoja yako. Ila naamini Bibilia ni kitabu safi chenye uwezo wa kumfungua mwanadamu Bongo na kuwa huru zaidi. Dini zinaonekana na zinazidi kuwa hatarishi kutokana na kuibuka kwa watu wanaotumia bibilia kama too ya kubrainwash watu na kuwafanya watumwa. Nilimosema dini nilimaanisha Concious religious experience sio fuata mkumbo.
Binafsi naamini Bibilia na Imeniongezea dimension Ya imani na Amani ambazo hazipo kwenye vyanzo vingine maana naamini kwa kuelewa sio kuambiwa na kukariri.

Ninajua dini nyingi zitatumika kama vichocheo vya uovu, lakini hii haibatilishi ukweli kwamba Bibilia kama chanzo cha imani ninayoisisitiza ipo sahihi na hata hao unaowaona kama wanapotosha dini kwenye bibilia imeonya na kuwataadhalisha wasomaji wake mchana kweupe.

Naungana na Paulo wa kwenye bibilia ambaye alikuwa Great and critical thinker hadi baadhi ya maandiko yake yanawachanganya watu.
Aliwahi kupambana na great thinkers wa ugiriki kwa hoja na akawashinda. Na alipandishwa areopagus jukwaa ambao walisiamama critical thinkers, Great thinkers na elite philosophers na wakamsikiliza kwa hiyo hoja zako zote mkuu ni mfu.

Kama unaamini Bibilia kwa kufikiri na Imani mambo ambayo yako beyond science and evidence unakuwa na Double profit katika ulimwengu wa watu wanaofikiri sahihi.

Usipotoshe kwa kuwa umezungukwa na wapotoshaji au watu wanaodhalilisha image za imani
Kabisa wakristo wengi twadanganywa sana kwan hatusomi Bible yaani tunasubiri mahubiri ndoo tufungue Bible
 
woow!!!! very interesting ndugu yangu mimi ni miongoni mwa wasomaji wazuri unaweza kuendelea kuongeza ujuzi wako hapa kwa uyu ndugu yetu jason Jason A, na pia kuna kitabu nakitafuta hope unaweza nishauri pakukipata,kinairwa call to action and the american catholic rebellion, kwenye kava lake limechorwa picha ya askofu kavaa kipadri na chini ameweka ile sign ya triangle
 
Back
Top Bottom