Social Media Vs Maambukiz ya UKIMWI kwa vijana?

Social Media Vs Maambukiz ya UKIMWI kwa vijana?

Kumekuwepo kwa social media platforms na Apps za kueneza ngono hasa kwa vijana Badoo, nairobiraha, insta, Grindr je Kuna jitihada zote za kupunguza Maambukiz kwa vijana.

Maana vijana wanaloweka bila kinga. Na Kampeni za Kujikinga na UKIMWI zimesahaulika kabisa. Tunaandaa taifa la waathirika miaka 10 ijayo
Wacha vijana wafurahie maisha
 
Back
Top Bottom