" Soda Sh 1000 nifungue au nisifungue?" Hii kauli sio nzuri.

Nashauri wizara ya afya isisitize uwepo wa disclaimer kwenye soda kwamba "matumizi ya soda yaliyokithiri ni hatari kwa afya yako"
 
Nashauri wizara ya afya isisitize uwepo wa disclaimer kwenye soda kwamba "matumizi ya soda yaliyokithiri ni hatari kwa afya yako"
Ni mpaka kuwe na uthibitisho wa kisayansi. Ubaya wa soda uko kisayansi mwitu zaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…