Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Ila inasaidia sana kuepusha zahama mbeleniHata kama Soda zimepanda bei hii kauli sio nzuri kabisa kwa wateja.
Yaani unajibiwa kibabe kwamba kama hutaki kunywa kula kona .
Dah...
Atakuwa ana muonekano wa kitapeli au kinyonge labdaKwani unamuonekano gani hadi akuchukulie kiwepesi hivyo
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app
Pengine wanagombanaga na wateja kwenye malipo ndo maaaana amehoji mapema kabisa😅😅😅 ila poleHata kama Soda zimepanda bei hii kauli sio nzuri kabisa kwa wateja.
Yaani unajibiwa kibabe kwamba kama hutaki kunywa kula kona .
Dah...
Ni mpaka kuwe na uthibitisho wa kisayansi. Ubaya wa soda uko kisayansi mwitu zaidi.Nashauri wizara ya afya isisitize uwepo wa disclaimer kwenye soda kwamba "matumizi ya soda yaliyokithiri ni hatari kwa afya yako"
Ukiambiwa tafuta pesa,ww kazi yako kuangalia tv kwa shemeji yako pumbafu we sasa unamlalamikia naniHata kama Soda zimepanda bei hii kauli sio nzuri kabisa kwa wateja.
Yaani unajibiwa kibabe kwamba kama hutaki kunywa kula kona .
Dah...
Eti kisa kashika Tecno C5Kwani unamuonekano gani hadi akuchukulie kiwepesi hivyo
Sent from my TECNO_W4 using JamiiForums mobile app