Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Humu Jf kila mtu ana kunywa wine na vinywaji vya bei pia wote wana magari[emoji28][emoji28][emoji28]JF bhanaMkuu, unakuwaje mwana JF halafu unakunywa twist?
Elimu yako ni duni sana juu ya ugonjwa wa kisukari mkuu.Unakitafuta kisukari kwa hamu
Wabongo bhana! Soda yenyewe umenunua jero halafu unaogopa hata kumwaga tone 1, si utumie glass?Hii soda ilipendwa sana tena baada ya Mo kupunguza uzalishaji wa soda zake.
Ila nimekereka kitu kidogo sana,wametoa chupa ambayo haisimami kwenye meza,yani chini haina balansi ukiweka mezani vibaya unaweza kumwaga soda yako.
Hivi Huwa ni kwanini?Mkuu konyagi inasimama yenyewe lakini bado wanywaji wanailaza...
Hatoamini siku akiambiwa ana kisukari.Unakitafuta kisukari kwa hamu
Weka na alksuzMimi nitakunywa tu madafu na Togwa hizo sumu za wahindi na makobazi pambaneni nazo tu
Ni vigumu sana kuepuka hizo kemikali unless uishi organic lifeNilikunywa kokakola ndogo tangu 2016 hizi kemikali napita mbali
Glass huwa zinateleza zinavunjikaHoja dhaifu tumia glass mimina yote
Ndio ujitahidi mkuu kunywa maji na fanya mwenyewe juice ya matunda nyumbaniNi vigumu sana kuepuka hizo kemikali unless uishi organic life
Kutokukaa mezani ni mkakati wa kibiashara. Lengo ni uimalize haraka na kununua nyingine.Hii soda ilipendwa sana tena baada ya Mo kupunguza uzalishaji wa soda zake.
Ila nimekereka kitu kidogo sana,wametoa chupa ambayo haisimami kwenye meza,yani chini haina balansi ukiweka mezani vibaya unaweza kumwaga soda yako.
Yaani ununue soda ya 300 halafu na glass upewe. Na wanaonunua Desperador watapewa niniWabongo bhana ! soda yenyewe umenunua jero halafu unaogopa hata kumwaga tone 1 , si utumie glass ?
Haujiulzi mwarabu na mahindi wanatutengenezea vitu ambavyo havina faida kwako hebu check Kuna Jambo soda, Mo soda, Azam soda, sayona, vyote hivyo ni kujiletea magonjwa. Na hakuna siku moja utashauriwa hospital kuwa kanywe hizo. Mmeletewa pipi na biscuits chopsticksHii soda ilipendwa sana tena baada ya Mo kupunguza uzalishaji wa soda zake.
Ila nimekereka kitu kidogo sana,wametoa chupa ambayo haisimami kwenye meza,yani chini haina balansi ukiweka mezani vibaya unaweza kumwaga soda yako.