Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa mkuuHaujiulzi mwarabu na mahindi wanatutengenezea vitu ambavyo havina faida kwako hebu check Kuna Jambo soda ,mo soda ,Azam soda sayona, vyote hivyo ni kujiletea magonjwa. Naa hakuna siku moja utashauriwa hospital kuwa kanywe hizo. Mmeletewa pipi na biscuits chopsticks
Sawa prof JanabiElimu yako ni duni sana juu ya ugonjwa wa kisukari mkuu.
Mkuu, unakuwaje mwana JF halafu unakunywa twist?
Kumbe wewe shida yako siyo soda ila shida yako ni chupa. Kama utamu wa soda upo palepale kwa nini usiinywe kwa kutumia bakuli au kikombe au glasi?Hii soda ilipendwa sana tena baada ya Mo kupunguza uzalishaji wa soda zake.
Ila nimekereka kitu kidogo sana,wametoa chupa ambayo haisimami kwenye meza,yani chini haina balansi ukiweka mezani vibaya unaweza kumwaga soda yako.
Unini ni zero mkuu?😀Uboro ni zero,sikuku unakosa soda unananua u fresh sijui,ni tamu mpaka mtoto sukari ikapanda.Nadhani mchawi wetu ni TBS na TFDA
Reception ndio inashawishi mtu kukubali, ikiwa chupa sio muhimu kwanini uchague uchague mchumba mzuri wakati uchi ni ule ule? Date na mlemavu basi tujue kweli muonekano wa nje sio muhimuKumbe wewe shida yako siyo soda ila shida yako ni chupa. Kama utamu wa soda upo palepale kwa nini usiinywe kwa kutumia bakuli au kikombe au glasi?
Hao walemavu unaowaona wewe huwezi kudate nao kuna wanao date nao. Sawa na chupa za twist, wewe unaziona Zina reception mbaya wengine wanaona ni nzuri.reception ndio inashawishi mtu kukubali,ikiwa chupa sio muhimu,kwann uchague uchague mchumba mzuri wakati uchi ni ule ule? Date na mlemavu basi tujue kweli muonekano wa nje sio muhimu