Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda temeke ndani ndani huko ukakutane na shetani liveInawezekana mana pia uwa napoenda kupoza koo uwa napenda sehem zilizotulia narefresh mind vizuri haswa siku za weekend kuondoa uchovu wa wiki nzima.
we acha tu hivi tbl lazima watumie chupa? kwanini wasitumie box kama za azam embeNdo maana wanywa bia mnanenepa kumbe kuna particles za mavi mnagwida pia
Butterfly iko sehemu gani niendeHata hapa gomz wanapaita butterfly hv hv
😂😂😂😂 Sijapata bado chakunipeleka uko na lazima niwe na location, kuna siku niliienda kutuma mzigo kwenye bus zakusini ndiyo nliona maisha yakule bila kujua unafata nini unapotea.Nenda temeke ndani ndani huko ukakutane na shetani live
Mkuu ipo kama unaenda mosh bar..Butterfly iko sehemu gani niende
Duuh ila nadhan kuna wanaofurahia ndiyo mana imekuwa kama sehem ya ubunifuMkuu ipo kama unaenda mosh bar..
Pale gomzi stand kuna bajaji za kwenda huko mosh bar ndo huko kuna pub hiyo inaitwa butterfly
Wenyewe kila siku wanaleta vtu vipya roho inapenda
Hata mi huwa nainjoi kunamda nikipita nashindwa vumilia kabisa anDuuh ila nadhan kuna wanaofurahia ndiyo mana imekuwa kama sehem ya ubunifu
Kuna kipi cha ajabu mkuu shida maeneo kama hayo uchelewi kuona mtu karusha chupa na pia utakuta bar inajaza kias kwamba hewa inakua ndogo ukitoka bar unakua km umetoka marathon.Hata mi huwa nainjoi kunamda nikipita nashindwa vumilia kabisa an
Serikali itoe maelekezo. 🤣🤣we acha tu hivi tbl lazima watumie chupa? kwanini wasitumie box kama za azam embe
Nitaileta mrejesho!!!Mkuu ipo kama unaenda mosh bar..
Pale gomzi stand kuna bajaji za kwenda huko mosh bar ndo huko kuna pub hiyo inaitwa butterfly
Wenyewe kila siku wanaleta vtu vipya roho inapenda
Maajabu ya hapa ni kuwa kuna usalama wa kutosha....Kuna kipi cha ajabu mkuu shida maeneo kama hayo uchelewi kuona mtu karusha chupa na pia utakuta bar inajaza kias kwamba hewa inakua ndogo ukitoka bar unakua km umetoka marathon.
Sas kwa sie ambao leo ndiyo siku yetu ya mapumziko kuipokea j3 siku ya kazi huko hapana hapo amefeli napo bora angefanya jmosi.Maajabu ya hapa ni kuwa kuna usalama wa kutosha....
Kingine an huyu jamaa kila jpili mfano leo hii mambo yatakua moto mnoo