Soga za Chumbani kwa Bi. Kasinde

Soga za Chumbani kwa Bi. Kasinde

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
1589657878956.png



Alf lela ulela za Bi. Kasinde kabla hajatafakari.

Hii ni maalum kwa kupata simulizi endelevu za Bi Kasinde akiwa chumbani kwake kila apatapo wasaa.

Atachukua kilongalonga chake na kupachika miwani kwenye macho kisha kuanza soga na aliyeko...

K: Mjuba umeshindaje leo?
M: Vibaya sana sijasikia sauti yako..
K: Kwani hujaizoea tuu? Mbona saa hizi nshabwia bangi sauti imekuwa ya zeegee teja ana afadhali.
M: Kasinde hujui tuu, hiyo koroma na kwaruza ya sauti yako mie ndo asusa yangu..
K: Aaahahahahahahahaa Mjuba hebu sema unataka nini acha kunichota kama chepeo la fundi mwashi aahahhahahaaa
M: Eeehehehehe hayo ndo maneno Kasinde, zima taa mie nashusha neti nataka nikusimulie hadithi ya akaja sembamba.....

Ikawa jioni...

Ikawa usiku...

Ikawa usiku wa manane...

Ikawa alfajiri....

Bibi hooiiiii, alma nusura azime, mbiombio mjuba kawahi dripu ya maji ndo vimacho kufumbuka.

1589657138751.png


NB: Simulizi hizi naziweka kwa namna ya mazungumzo baina ya Kasinde na Mjuba (dialogue) yaani nasimulia yale
nnayozungumza na wajuba nikiwa chumbani na si tunachokifanya.

Kasinde Matata.
 
Niunganishe na huyo bibi nisuuze rungu

Sent using Gun Trigger
 
Black is beuty!... le sinyoritaaa magaritaa on bedoritaa



Senorita...

Margarita..

Mama Cita...

Till morning light..

My Monalisa...

She moves deep and slow... yooh yooh..!!

Dancing to the moves..
 
Yuko Bungeni nenda Dodoma omba kuonana na Katibu muhtasi wa dondoo za mikutano.

Kila la kheri.
Nmejiquarantine siku 14 zikiisha ntaelekea idodomia nkaonane nae

Sent using Gun Trigger
 
M: Kasinde mbona kimya, umesinzia?

K: Niko macho Mjuba nilikuwa natandika kitanda, kwema lakini kwako huko... ? Niambie...

M: Nangojea busu lako tafadhali!!

K: Ahahahaaaa Mjumba una mamboo...!!! niahidi kwanza kuwa hautapiga kelele nikikupa.....

Ikawa usiku...

Ikawa usiku mnene...

Ikawa usiku mnene sana...

K' Matata.
 
M: Kasinde mbona kimya, umesinzia?

K: Niko macho Mjuba nilikuwa natandika kitanda, kwema lakini kwako huko... ? Niambie...

M: Nangojea busu lako tafadhali!!

K: Ahahahaaaa Mjumba una mamboo...!!! niahidi kwanza kuwa hautapiga kelele nikikupa.....

Ikawa usiku...

Ikawa usiku mnene...

Ikawa usiku mnene sana...

K' Matata.
K' Matata
 
Dah! Nikajua umeshakwenda na maji mpenzi..!!
Kumbe upo..?
Kwanza nitwange jibusu ili nijue upo kweli au lah!

Nami ninalo la kusimulia..

Aaahahahahahahaaaa maji yepi tena Kenzy..!!??

Najinyungu tuu ndo zinazoniweka hadi leo....

Busu tuu, sema jingine hilo umepata moja kwa zote...

Mie sio tuu unisimulie, unifanyie matamu matamu nnavopenda sukari mie mweeh!!
 
Kasie mtata.. Utata unaongezeka na stori za mida hii.
 
Kasie mtata.. Utata unaongezeka na stori za mida hii.

Aaahahahahahahhaaa

Kiasi si saanaaaaa, kiidooonchooooo ehehehehehheeee

Mida ya kupopo kikorona hii
 
Back
Top Bottom