Soka inalipa: Mchezaji Aziz Ki ana gari la gharama kubwa, million 500

Soka inalipa: Mchezaji Aziz Ki ana gari la gharama kubwa, million 500

Comment za uzi huu unaonesha wazi watu ni watumwa wa kifikra za kimasikini. Yaani wamewaza chanzo chake cha mapato ni mshahara wa Yanga tu, vipi kama ana vyanzo vyake vingine vya mapato nje ya mshahara kama vile biashara au ubalozi wa kampuni fulani?
...wabongo wana wivu na chuki na maendeleo ya mtu by profession.
 
Labda kama Aziz Ki anauza ngada, hawezi kumiliki hiyo gari ikiwa mpya kwa pesa za kulipwa na tajiri wa gongo wazi.
Yani yule malaya Mange Kimambi anunuwe hilo gari ndio ashindwe Aziz Ki?

Mnazijuwa source zake zote za income?

Hivi hamjui hawa Mastar kuna bahasha wanapewa na matajiri?

Mimi nilifika nyumbani kwa Kikwete akiwa waziri na mchezaji wa Yanga tulipoondoka alimpa bahasha, sasa fikiria kwa matajiri kama GSM hawa nje ya mkataba wanavuta ngapi

Diamond alimpa Diara dollar ngapi? Diamond ni mtu wa media elewa kuna watu wanafanya kimyakimya.

Kibu Denis yupo Marekani na familia yake kuna wajinga nimeona wanahoji pesa kapata wapi? Seriously?
 
Haya mambo yameharibu sana vijana wa Tanzania kufikia hatua ni kama hakuna vijana Tanzania.

Asilimia kubwa ya hao vijana ni masikini ambao wana ndoto za kuendesha Range Rover huku ela ya kula yenyewe shida. Na kazi hawapendi kufanya zaidi ya kushinda kwenye social networks as ndo maisha halisi.

Wengine ni janja janja na siyo waaminifu maana wanataka utajiri wa ghafla na mkubwa kama wa hao wanaowafuatilia kwenye social networks.

Wengi wamejikita kufuatilia maisha ya watu mitandaoni. Wakidhani ndo maisha halısı na wala hawajitumi kufanya kazi kwa bidii wala kuleta mabadiliko kwenye Taifa.

Hasara kubwa!
Sana tu.
 
Haya mambo yameharibu sana vijana wa Tanzania kufikia hatua ni kama hakuna vijana Tanzania.

Asilimia kubwa ya hao vijana ni masikini ambao wana ndoto za kuendesha Range Rover huku ela ya kula yenyewe shida. Na kazi hawapendi kufanya zaidi ya kushinda kwenye social networks as ndo maisha halisi.

Wengine ni janja janja na siyo waaminifu maana wanataka utajiri wa ghafla na mkubwa kama wa hao wanaowafuatilia kwenye social networks.

Wengi wamejikita kufuatilia maisha ya watu mitandaoni. Wakidhani ndo maisha halısı na wala hawajitumi kufanya kazi kwa bidii wala kuleta mabadiliko kwenye Taifa.

Hasara kubwa!
Na mwisho wao ni kuvuliwa ubingwa.
 
Badala ya kuwaza mambo ya kusaidia Vijana, mnawazia umbea; Kwani akiwa nalo au asipo kuwa nalo litakusaidia nini wewe kama Kijana?
Nilitamani kusikia vitu kama Mpunga unavunwa Morogoro & mbeya mwezi huu au Pengine Vitunguu vinatoka mwezi huu kule Arusha hivyo vijana wajichange wakachangamkie Fursa.....
Mwanamme mzima umeweka bando kufuatilia maisha ya mwanamme mwenzakao???
Kamanda mbona makasiriko, Maza hausi kapiga simu nini?
 
Aaaa mshahara analipwa hauendani na magari hayo
Tufanye umeajiriwa unalipwa milion 5 kwa mwezi, hutakuwa na akili ya kufanya uwekezaji? Kama ni ndio, akili ya kuwekeza unayo peke ako?

Kamsome Martine Braithwaite mshahara anaulipwa kama unaenda na vitu anavyomiliki.
 
Yani yule malaya Mange Kimambi anunuwe hilo gari ndio ashindwe Aziz Ki?

Mnazijuwa source zake zote za income?

Hivi hamjui hawa Mastar kuna bahasha wanapewa na matajiri?

Mimi nilifika nyumbani kwa Kikwete akiwa waziri na mchezaji wa Yanga tulipoondoka alimpa bahasha, sasa fikiria kwa matajiri kama GSM hawa nje ya mkataba wanavuta ngapi

Diamond alimpa Diara dollar ngapi? Diamond ni mtu wa media elewa kuna watu wanafanya kimyakimya.

Kibu Denis yupo Marekani na familia yake kuna wajinga nimeona wanahoji pesa kapata wapi? Seriously?
Kwa ujinga hakuna anaemzidi Mtanzania ukanda huu wa Afrika Mashariki. Nakubaliana na wewe.
 
Wadau hamjamboni nyote?
... 💰 𝗦𝗢𝗞𝗔 𝗟𝗜𝗡𝗔𝗟𝗜𝗣𝗔

Mercedes Benz G- Wagon 63 AMG (White) ndiyo ndinga mpya ya Aziz Ki.

💰 Zero kilometer inafika mpaka Tsh 500+ million. Used inacheza Tsh 400+ million.

Features zake :

◉ Full-option ›› Alloy Wheel, Sensors
Camera, Bluetooth, Cruise Control,
Sun Roof, Leather seats, Push Start,
8 Cylinders, 5 Seats.

◉ Color ›› White exterior with Black interior.

◉ Transmission ›› 9-Speed Auto w/OD

◉ Engine ›› Twin Turbo Premium Unleaded
V-8 4.0 L/243 💪

◉ Fuel Efficiency ›› 13 CITY/16 HWY (Petrol)

Note : Jiulize Tsh 500+ million katika ajira yako unaipata kwa muda gani ?!

Soka linalipa 🙌⚽

Tom Cruz facts 🧠

View attachment 3029534
View attachment 3029549
Haitodumuu maana ashaanza kucheza na akina Mobetto

Soon utamuona Mobeto kwenye hii gari
 
Tufanye umeajiriwa unalipwa milion 5 kwa mwezi, hutakuwa na akili ya kufanya uwekezaji? Kama ni ndio, akili ya kuwekeza unayo peke ako?

Kamsome Martine Braithwaite mshahara anaulipwa kama unaenda na vitu anavyomiliki.
Angalia mtoa mada ,
Kasema soka linalipa.
Inaamana kwamba feza za soka ndio amezitumia kununu gari
 
Back
Top Bottom