Shemtibuko
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 728
- 1,014
Umbea uko wapi hapo mkuu, naona jamaa kaongea uhalisia kuokoa soka letu. Unajua sheria zinasemaje mchezaji akighushi umri kwenye under ages cups? Mie namuona shujaa wa soka letu anastahili pongezi.Sasa ndiyo nini kumharibia mwenzio? Ni kijiba cha roho huna lolote! Mijitu yenye roho kama wewe haifai kwenye jamii. Hata wakimfuatilia hawatajali maneno yako vielelezo vitajieleza majungu si mtaji. Dume zima linaleta umbea wa kike loh!
Wewe huoni kama anamuharibia mwenzie? kwani nani hajui kama kuna wachezaji wanaodanganya umri? Kwani asingemtaja na kuanika picha yake asingeeleweka? Watu wa hivi huwa wanasumbuliwa na wivu hawana lolote la maana.Umbea uko wapi hapo mkuu, naona jamaa kaongea uhalisia kuokoa soka letu. Unajua sheria zinasemaje mchezaji akighushi umri kwenye under ages cups? Mie namuona shujaa wa soka letu anastahili pongezi.
Kumharibia kivipi? Haya mambo ndio yanasababisha soka la bongo lisisonge mbele. Lengo langu ni zuri sana. Halafu sina wivu nae kabisa.Wewe huoni kama anamuharibia mwenzie? kwani nani hajui kama kuna wachezaji wanaodanganya umri? Kwani asingemtaja na kuanika picha yake asingeeleweka? Watu wa hivi huwa wanasumbuliwa na wivu hawana lolote la maana.
Kumharibia kivipi? Haya mambo ndio yanasababisha soka la bongo lisisonge mbele. Lengo langu ni zuri sana. Halafu sina wivu nae kabisa.
Ndio maana, basi mwambie ugali ushamwagika kitambo tokea asimamishwe kwa kuuza mechi dhidi ya Yanga.Ndugu huyo Monicca ni mke wa Kyaruzi anatetea ugali wa mume
Sina masrahi yoyote na mtajwa na hata sijui anafananaje,isipokuwa siyo uungwana kuweka mambo binafsi ya mtu hadharani ni lazima utakuwa na msukumo wa wivu ndani..ni muulize wewe hujawahi kudanganya chchte?Ndio maana, basi mwambie ugali ushamwagika kitambo tokea asimamishwe kwa kuuza mechi dhidi ya Yanga.
Jamaa katoa tu ya moyoni ila kusema kamuharibia ajamuaribia ata kidogo maana hivi vitu vinajulikana kwa sisi watu wa soka kitambo.Sasa ndiyo nini kumharibia mwenzio? Ni kijiba cha roho huna lolote! Mijitu yenye roho kama wewe haifai kwenye jamii. Hata wakimfuatilia hawatajali maneno yako vielelezo vitajieleza majungu si mtaji. Dume zima linaleta umbea wa kike loh!
Ha ha ha!Sasa ndiyo nini kumharibia mwenzio? Ni kijiba cha roho huna lolote! Mijitu yenye roho kama wewe haifai kwenye jamii. Hata wakimfuatilia hawatajali maneno yako vielelezo vitajieleza majungu si mtaji. Dume zima linaleta umbea wa kike loh!
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Ha ha ha!
Monicca bhana! Ndio maana najiandaa kuleta posa kwenu nikuoe wewe!!
Utamuweza moniccca wewe? Utapikishwa na kufurishwa mpaka ukomeHa ha ha!
Monicca bhana! Ndio maana najiandaa kuleta posa kwenu nikuoe wewe!!
Ha ha ha!Utamuweza moniccca wewe? Utapikishwa na kufurishwa mpaka ukome
Kama unajiamini nenda mkuu..nikutakie kila la heriHa ha ha!
Nitamtuliza mkuu!!
Mkuu mbona unanitisha??Kama unajiamini nenda mkuu..nikutakie kila la heri
Nikumbusheni jina la yule mrembo wa tz miaka ya juzi kati hapa naye alitia fora kwnye ishu kama hiziView attachment 464609
Soka la Tanzania na Afrika kwa ujumla ni kituko linapokuja suala la umri. Wachezaji wengi wamekuwa wakiongopea sana kuhusu umri wao halisi.
Wapo wachejazi wakubwa na wanaoheshimika ambao walishakumbwa na skendo ya udanganyifu wa umri.
Lengo la uzi huu sio kuwazungumzia hao bali huyu mchezaji wa Kagera Sugar ambaye namjua nje ndani.
Anajulikana kama Erick Kyaruzi, ni mchezaji mzuri ndio ila kadanganya umri mpaka inakera. Kwa tunaomjua hili halitupi tabu sana, lakini kwanini huu udanganyifu? Kwa manufaa ya nini hasa?, Ili iweje labda?
Huyu nimekuwa nae mtaani, nimesoma nae shule moja ya msingi nikiwa namtangulia darasa moja. Nimemaliza darasa la saba 2002, yeye 2003. Kutoka 2003 - 2017 ni miaka 14.
Nina miaka 29 kwa sasa, ina maana huyo labda ilitakiwa awe na miaka kuanzia 26-29, ajabu kadanganya ana 19. Karudisha nyuma miaka kuanzia 7-9. Sio jambo zuri kwa ustawi wa soka letu.
Tujirekebishe, Jamal Malinzi hapa una la kuongea.