Soka la Zanzibar lazidi vituko, timu yashinda 50-0, nyingine 46-0 zikiwania kupanda daraja la kwanza

Soka la Zanzibar lazidi vituko, timu yashinda 50-0, nyingine 46-0 zikiwania kupanda daraja la kwanza

Naona kuna wakati kuliingizwa magoli pacha🤓🤓🤓🤓🤓🤣🤣🤣🤣
 
Mfungaji bora hajatokea kwenye hizo mechi kweli?
 
Kufungwa twafunga ila chenga twawala...

Mabo 50, walikua wamesimama au?
 
Back
Top Bottom