Soka Letu liko katika Hali tete sana

Moja kati ya post za kipuuzi kuzisoma huu mwaka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
mikia fc ni sheeder hao.
 
Huko dimbwini maji yamekauka?
 
Reactions: Tui
Uchochele FC baraka ya mdomo tu.Roho ya husda inazidisha umaskini.
 
Saizi mvua zimeanza kunyesha ko sishangai kusikia kelele za chura

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Reactions: Tui
Hoja ni ipi kwenye hii thread ili ajadili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waimba taarabu ndani ya nyumba. Mafuriko huja na maajabu yake.
Beggars cannot be choosers. They get what they deserve. MAJUNGU.
Hivi rufaa ya AS Vita ya kupuliziwa madawa imefikia wapi?CAF wamejibu nini? CHURA mbona kimya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…