Jacobus
JF-Expert Member
- Mar 29, 2011
- 4,703
- 1,724
Juzi kati kwa maana ya jumapili timu zetu mbili za Simba na Singida BS zilituwakilisha kwenye mashindano ya CAF.
Simba ikafuzu kwa goli la kanuni ila Singida BS ikatolewa kwa kufungwa 4.
Sasa, kazi ikawa kwa hawa wanaojiita wachambuzi ambao mie nadhani ni washabiki tu pale E Fm radio kwa siku mbili yaani jumatatu na jumanne katika kipindi chao cha michezo cha asubuhi wamejikita kujadili maoni ya mashabiki wa Simba wa mtandaoni.
Habari ya kutolewa Singida BG ikawa na nafasi kidogo mno tena siku moja tu ya j3.
Sasa leo Yanga kafungwa na Ihefu goli 2-1, kesho habari kubwa itakuwa kwa nini Yanga imefungwa na si kujadili mbinu walizotumia Ihefu kupata ushindi huu.
Pale E Fm mtu ninayemkubali ni Jemedari Saidi na kidogo Jeff Lea na Masoud, wale wengine si wachambuzi ni mashabiki tu kama si wachafuzi wa soka letu.
Simba ikafuzu kwa goli la kanuni ila Singida BS ikatolewa kwa kufungwa 4.
Sasa, kazi ikawa kwa hawa wanaojiita wachambuzi ambao mie nadhani ni washabiki tu pale E Fm radio kwa siku mbili yaani jumatatu na jumanne katika kipindi chao cha michezo cha asubuhi wamejikita kujadili maoni ya mashabiki wa Simba wa mtandaoni.
Habari ya kutolewa Singida BG ikawa na nafasi kidogo mno tena siku moja tu ya j3.
Sasa leo Yanga kafungwa na Ihefu goli 2-1, kesho habari kubwa itakuwa kwa nini Yanga imefungwa na si kujadili mbinu walizotumia Ihefu kupata ushindi huu.
Pale E Fm mtu ninayemkubali ni Jemedari Saidi na kidogo Jeff Lea na Masoud, wale wengine si wachambuzi ni mashabiki tu kama si wachafuzi wa soka letu.