Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Wabongo tunajua kutikisika kama mayele tu.Ila mayele nae anajitahidi sana yule dogo
Waache wauane kwan tuna hasara ganiMimi sioni kitu pale afrika wanatakiwa kukaza buti na kuacha majungu kama simba kila kukicha ugomvi nasikia mpaka wanatka kuuwana huko kwa uchawi
Kila mtu anamshika mwezie uchawi
Waache wauane kwan tuna hasara gani
Wajinga ndiyo waliwao...kila siku kwa mganga kila siku unapigwaWatakao fwata nao watarithi uchawi mimi siamin uchawi kwenye mpira
Wajinga ndiyo waliwao...kila siku kwa mganga kila siku unapigwa
Africa tua akili sana mku
Unafananisha Chakula na kinyesi
Dahh😂Unafananisha Chakula na kinyesi
Kama CHAMA ananecheza kama yupo urayaa anawekwa bench........
Kucheza ngoma😂Akili ipi mfano?
Kucheza ngoma[emoji23]