Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Oi oi oi,
Wakuu leo nataka kufahamu kwanini Ulaya wanacheza mpira mzuri sana? Naangalia memchinya ARS na MUN, wanacheza vizuri sana bila kuvunja sheria za mpira.
Kulikoni huku kwetu watu wanacheza mpira kama wanacheza singeli na bado wanasifiwa wanajua kucheza?
Tunakwama wapi Afrika, namba kujua?
Wakuu leo nataka kufahamu kwanini Ulaya wanacheza mpira mzuri sana? Naangalia memchinya ARS na MUN, wanacheza vizuri sana bila kuvunja sheria za mpira.
Kulikoni huku kwetu watu wanacheza mpira kama wanacheza singeli na bado wanasifiwa wanajua kucheza?
Tunakwama wapi Afrika, namba kujua?