Soka: Ulaya dhidi ya Afrika

Soka: Ulaya dhidi ya Afrika

Oi oi oi,

Wakuu leo nataka kufahamu kwanini Ulaya wanacheza mpira mzuri sana? Naangalia memchinya ARS na MUN, wanacheza vizuri sana bila kuvunja sheria za mpira.

Kulikoni huku kwetu watu wanacheza mpira kama wanacheza singeli na bado wanasifiwa wanajua kucheza?

Tunakwama wapi Afrika, namba kujua?
Hoja yako ni sehemu ya hoja kubwa kuwa Ulaya na mataifa mengine makubwa wamepiga hatua kubwa kwa mambo mengi. Viwanda, huduma za afya, michezo, na taaluma mbalimbali. Jiulize wakati sisi tunakimbizana na matundu ya vyoo, kuna nchi kipaumbele chake ni kutafuta uwezekano wa kuishi katika sayansi nyingine.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Changamoto kubwa ni miundombinu tu (viwanja n.k)
Angalia Simba/Yanga ya viwanja vya mikoani halafu fananisha wakiwa kwa Mkapa, utapata majibu.
 
Back
Top Bottom