Soko kuu la dhahabu lazinduliwa Chato, Waziri Biteko atoa maagizo

Pasco nimegundua kitu kimoja, huyo muzee mnampoteza kwa ushauri wenu wa mafuta ya mgongo wa chupa.
Haiwezekani hadi Leo hii asisikie aibu hata kidogo kuwa speed hii ya 120 kwenye kona kusifiwa ni kujipeleka kuzimu!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu shida ni jengo soko la dhahabu kujengwa Chato au jina la Chato?
Kuna maeneo mengi inapatikana dhahabu katika wilaya ya Chato.
Walitaka lijengwe wapi.Basi vumilieni hadi 2040 likapohamishiwa eneo jipya.
 
Hongera JPM jengo zuri sana bila shaka ni fedha zetu za ndani na wachimbaji wadogowadogo sasa mambo yataenda vizuri maana walilaliwa sana zama zile..

Maendeleo Tanzania yanakuja kwa kasi sana chini ya jemedari JPM na uchumi unakimbia kwa kasi ya zaidi ya 7% heko JPM 2020 kura zote kwako ushindi 99.9%..
 
Swali LA kujiuliza mhe akimaliza muda wake kuna mtu atayaendeleza hayo ya chato? Simple answer is no
 
Gbadolite yetu lazima iwe na kila kitu.
Kitajengwa kiwanda kikubwa cha kubangua korosho. Shida iko wapi? Zitatoka Mtwara.
Long live the Fuehrer
Soon wapeleke na dada zetu wale wa mitaa ya kona ili wachangamshe jiji
 

..hukumsikia Waziri Prof.Kabudi akidai kura za kanda ya ziwa zinatosha kumpa ushindi Jpm?

..kama siyo mwenyeji wa huko tafuta chama kingine tu. Hata mikutano ya hadhara kidogo kidogo hotuba zimeanza kuwa za kilugha.
 
Hilo jengo siku moja miaka sita ijayo litakuwa maskani ya mapopo, mijusi na hata mapepo tu. Time will bear me witness.
 
Unashangaa wilaya ya chato kuwa na soko la dhahabu wakati kjj cha Nyamongo kina soko la dhahabu!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Una Ujinga mwingi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…