Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nasema hivi, Chato hakuna dhahabu ya kufunguliwa soko. Soko la Buseresere lilikuwa linatosha sana, kama ni hivyo bora lingefunguliwa Biharamulo! Nasema banyan'ing'we!
Maendeleo yanaganyika Tanzania yote inaonekana Mwingeleza wivu unakutesa sana.Ikulu nayo iende chato. Something not right in my beloved country
Hahaha, UPI? Ile mrefu barani Africa? Labda km ana share na Mungu!ule mlima usipohamishiwa Chato sijuuuuuiiiiiiiii
A gaso na ganyelile, lusindo o'nyanda ebhe!
Mkuu usiseme.hivyo, juzi jopo la wataalam tumekalishwa kufanya tathmini na kuchonga mlima mrefu kuzidi Kilimanjaro! Kazi ipo awamu.hii ka ya zuzu vile!Hahaha, UPI? Ile mrefu barani Africa? Labda km ana share na Mungu!
Asilimia 90 ya waliocomment hapa hawaujui mkoa wa Geita.
Wilaya zote za mkoa wa Geita zina masoko ya madini.
Kuna soko LA madini Masumbwe wilaya ya Mbogwe,
Kuna soko la madini Ushirombo wilaya ya Bukombe,
Kuna soko la madini Geita,
Kuna soko la madini Nyang'hwale,
Kuna soko la madini Chato.View attachment 1305321View attachment 1305322
Kamwulize aliyepeleka soko huko!Unaweza kutupatia statistics?
Tulio mbali na hayo masoko tusitamke chochote. Nadhani yapo mbali na jingineSwala ni kuwa je kam Geita kuna soko tayari na Chato ni Geita sasa kulikuwa na haja gani ya kujeng lingine chato?
Kam chato iko mbali sana na kweye hilo soko basi sawa otherwise ni matumizi mabaya ya rasilimali.
Sent using Jamii Forums mobile app