Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

Tunatia huruma sana tulioingia kwenye huu mtego
Sijui wanamatatizo gani washakuwa cya kutosha wanataka wakur hadi wapi.. hata wenzao safari com kenya wanatoa dividends mwaka huu sema duh yaan haifiki hata shilingi moja ya kenya per share

Kwa sie wenye pesa za mawazo bora tukomae na MMF na trust funds au Govt Bonds ambako tunaambiana labisa mapema faida elekezi ni % ngapi na hata ikipanda au kushuka walau unajua haiwez shuka chini ya nusu ya %. Elekezi.. ila huku kuwekeza direct kwenye stocks za makampuni kama
Voda sijui twiga kunatakiwa watu ambao washashiba pesa.. ambao yaan kuingia 100m+ kama
Faida kwao kwa mwez sio issue ambako anaweza hata akawekeza bilion au zaidi.. na hata akipata gawio haiwazii sana
 
No ninaposema elimu sio lazima wakukalishe darasani wakupe lecture bali ni wewe mwenyewe kuwa na hamasa ya kujua mambo yanayohusiana na hisa.

Kwa mfano Mimi mwenyewe nilikuwa sijui chochote kuhusu hisa.

Lakini mwaka jana nikatamani na Mimi kununua hisa, kwa hiyo nilichofanya nikaulizia alipo wakala na nikampata wakala tena kwa njia ya mtandao na si kwa kumuona physically coz kipindi kile nilikuwa mkoani kikazi na mawakala wapo Dar es salaam tu.

Nikawasiliana naye wakala kwa simu na akanielekeza jinsi ya kulipia hela benki Hadi kumfikia yeye.

Lakini kabla ya kulipia pesa nilihakikisha namuuliza maswali mbalimbali kuhusu hisa na nikamuona anipe analysis yake pamoja na speculation yake kwa kipindi hiki ni kampuni zipi zina probarbility kubwa ya hisa zake kupanda thamani,wakanitajia hizo kampuni zinazofanya vema kwa muda huo na Kisha wakanichagulia moja ambayo ni best option na wakanipa sababu kwa nini niichague hiyo.
Kwa hiyo nikawa nimepata mwangaza kuhusu hisa kwa staili hiyo.

Baada ya hapo nikaenda kulipia benki Kisha nikatumiwa cheti changu.
Nikafuatilia trend kwa muda karibu mwaka mmoja nikaona soko ni gumu bei hazipandi.

Baada ya hapo nikaenda kuziuza nikarudisha pesa yangu ya mtaji Kama ilivyo nikaenda kufanyia vitu vingine.

Kwa hiyo hivi ndivyo ilivyo, siku nyingine usipende kuweka pesa kwenye sehemu ambayo huna elimu nayo eti kwa sababu umeona wengine wameweka.
Nchi nyingi za Afrika kupiga pesa kwa upande wa hisa ni bahat nasibu sana maana unakuta market share imeshikwa na kampuni local ambazo zina influence ya moja kwa mona na wanasiasa so unakuta ni rahsi sana wao kuchakachua policy flan ili wafaidike na haya makampuni local hawanaga mpango wa kwenda public wanagawana share na wanasiasa wamejifungia ndan

Ndo maana unakuta kampuni zingine hasa za nje ambazo zinaendeshwa au zinajaribu kuendeshwa kwa taratibu za kimataifa kutoboa soko la afrika ni ngumu
Sababu wanajikuta ni ngumu kukua .. unaweza ukawa na hisa kampuni flan hata 10 urs zisikuwe na haIuziki sababu serikali za afrika kila uchaguz ukiisha policy zinabadilika kutokana na utashi wa rais alie madarakani

Matokeo yake unakita kampuni chache sana ndio kila mwaka zinafanya vizuri na hasa ni kampuni za kibani tena chache na za vinywaji. Na unakuta humu ndan kuna wanasiasa washajazana kwenye hisa

Ndo maana ulaya ni rahs kampuni private ikaanzishwa na ndan ya 10yrs hisa Ikakua hata 10X ila sio afrika
 
Sijui wanamatatizo gani washakuwa cya kutosha wanataka wakur hadi wapi.. hata wenzao safari com kenya wanatoa dividends mwaka huu sema duh yaan haifiki hata shilingi moja ya kenya per share

Kwa sie wenye pesa za mawazo bora tukomae na MMF na trust funds au Govt Bonds ambako tunaambiana labisa mapema faida elekezi ni % ngapi na hata ikipanda au kushuka walau unajua haiwez shuka chini ya nusu ya %. Elekezi.. ila huku kuwekeza direct kwenye stocks za makampuni kama
Voda sijui twiga kunatakiwa watu ambao washashiba pesa.. ambao yaan kuingia 100m+ kama
Faida kwao kwa mwez sio issue ambako anaweza hata akawekeza bilion au zaidi.. na hata akipata gawio haiwazii sana
Nishaachana na mbanga za sijui share bond and stuff nalima zangu na nainjoi kufukia hela
 
Back
Top Bottom