D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Msaada jinsi ya kununua hisa au kuchanganua kampuni kujua ipi itakupa faida?Nahitaji msaada wa elimu ya solo la hisa la dar as salam.Binafsi nimefungua account lkn sijajua nianze vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada jinsi ya kununua hisa au kuchanganua kampuni kujua ipi itakupa faida?Nahitaji msaada wa elimu ya solo la hisa la dar as salam.Binafsi nimefungua account lkn sijajua nianze vipi?
Wadau nina hisa za NMB zipo 170 ninauza kwa bei ya discount, kwa anayehitaji nitumie ujumbe pm.
sh 2140sh ngapi
sh 2140
Sh 363,800zote sh ngapi
Kwahiyo bora UTTGawio halitolewi, kampuni ina hasara, na mahesabu yao hayaeleweki (hayatolewi kwa wakati) mpaka BODI imepigwa mkwara na CMSA. Sasa issue ipo kwa wale wanaotaka kuuza hisa zao DSE, kwani kibali kinachoruhusu kampuni kufanya biashara huko kimezuiwa
UTT ni nzuri kwa watu wasio na elimu ya mambo ya hisa since haina mambo mengiKwahiyo bora UTT
Muulize Agent wakoNina miliki hisa kwenye Kampuni ya NICOL naona sasa nahitaji kuziuza je, kuna ajuaye Bei ya hisa Moja kwasasa?
Voda haziuziki. Mbuzi kwenye gunia huyoNahitaji kuuza au kuswap hisa zangu za Voda na TBL. Is there anyone in here who can advise nifanyeje?!
Yaani tuliingizwa kingi kama sio kuelekezwa kibra. Hela yangu inaniuma sana...sitaki kusikia ushuzi wa hisa kisa hawa wajingaVoda haziuziki. Mbuzi kwenye gunia huyo
Pole sana kiongozi. Umakini ni muhimu sana kwenye haya mambo.Yaani tuliingizwa kingi kama sio kuelekezwa kibra. Hela yangu inaniuma sana...sitaki kusikia ushuzi wa hisa kisa hawa wajinga
You are right NDACHUWA, ndi maana ukisoma post no 2, ameambiwa awaone investmest advisors kabla ya kuingis DSE, na ni ushauri unaotolewa na CMSA pia kabla ya kununua hisa. Hilo suala ya kumuonyesha makampuni yaliyopata hasara ni la msingi sana kwani vyema mtu akijua pande mbili za shilingi kuna nini. na ndio maana amekuwa interested kujua zaidi kilichotekea.
Kuna watu wakisikia hisa wanajua ni suala la faida tu na hakuna hasara kitu ambacho ni very wrong. Cha msingi ni kuchagua hayo makampuni ka uangalifu na kuzingatia ushauri wa wataalamu.
Kuhusu hisa za CRDB, ni kweli bado zipo chini sikatai, lakini ni vyema ukajua zimecheza kwenye hiyo bei kwa muda gani? Kuna watu wanataka kununua hisa, si ili wawekeze fedha zao na kupata magawio (dividends) bali waweze kuziuza ndani ya muda mfupi ili watengeneze faida, ndio maana akaambiwa kama yeye ni mmoja wao ni vyema akasubiri wakati wa IPO. Nimesikia kuna kampuni ya RICHLAND RESOURCES (Tanzanite One- as it then was) inaingia sokoni, issue ni kwamba wananchi wa kawaida watamudu gharama (hisa moja itauzwa kwa sh.ngapi?)
Hisa ziko vizuri tuu mkuu,sema umebanwa na shida sasa mali haiuziki unavyotaka!Yaani tuliingizwa kingi kama sio kuelekezwa kibra. Hela yangu inaniuma sana...sitaki kusikia ushuzi wa hisa kisa hawa wajinga
Hata mimi nimestuka........elimu ya hisa bado inahitajika sana ...inaonekana watu wananunua tu bila kupata maarifa sahihi.unamiliki na hujui bei yake? mambo ya ajabu kabisa