Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fanya 5m .... tumalize swalaNAUZA CARWASH MPYA YA KISASA
MAELEZO: UJENZI, MACHINE ZOTE, VYOMBO, SIMTANK, KODI n.k
JUMLA: TZS 8,000,000
LOCATION: KINONDONI BLOCK 41
CALL: 0717 26 33 77
Uko chini sana. Nicheki kwenye hiyo number hapo tuongee zaidi.. plus uende site kuangalia mwenyeweFanya 5m .... tumalize swala
HapanaHivi DSE huwa wanafanya Foreign Exchange pale??
Ntumie na mimi chief, ubarikiweSamahani mkuu, nimechelewa kujibu swali lako mambo ya mwaka mpya, nimeku PM namba ya jamaa mojawapo yuko Dar wasiliana nae atakupa maelekezo na kujibu maswali yako bila malipo. Asante
wasiliana na solomon brokers watakusaidia. wapo active sana kweny namba yao ya simu pia instagram.Nahitaji msaada wa elimu ya solo la hisa la dar as salam.Binafsi nimefungua account lkn sijajua nianze vipi?
OK ahsante sanawasiliana na solomon brokers watakusaidia. wapo active sana kweny namba yao ya simu pia instagram.
Ingia website ya DSE bossNina miliki hisa kwenye Kampuni ya NICOL naona sasa nahitaji kuziuza je, kuna ajuaye Bei ya hisa Moja kwasasa?
unamiliki na hujui bei yake? mambo ya ajabu kabisaNina miliki hisa kwenye Kampuni ya NICOL naona sasa nahitaji kuziuza je, kuna ajuaye Bei ya hisa Moja kwasasa?
Nimekubali mkuuHisa ni mfumo wa umiliki wa biashara kwa pamoja. yani ni umiliki wa kipande au sehemu ya kampuni. jinsi ya kupata faida ni kutokana na gawio yani sehemu ya faida ya kampuni ugawanywa kwa wanahisa kulingana na idadi ya hisa na faida iliyopatikana.
Lakini pia kama ikitokea hasara imepatikana katika kampuni inamaana pia wanahisa watakuwa wanachangia mzigo unaotokana na hasara hii.pia unaweza kunufaika kwa upandaji wa thamani ya hisa katika soko kwani unaweza kuuza wakati ziko bei ya juu na kununua wakati wa bei ndogo.
Kwa hiyo ni vema kuzingatia kuwekeza kwenye kampuni zenye uhakika yani imara yani zenye historia na zinazopata faida. pia unaweza kupata faida kwa kuuza hisa katika soko la hisa yani stock exchange . kampuni nyingi zinatoa gawio mara moja au mbili kwa mwaka.
Tumia application ya hisa kiganjani kuziuzaWadau nina hisa za NMB zipo 170 ninauza kwa bei ya discount, kwa anayehitaji nitumie ujumbe pm.
Ok ahsanteTumia application ya hisa kiganjani kuziuza
Kampuni ipo ila kipindi cha hayati J.P MAGUFULI hakukuwa na fair competition jumlisha COVID-19 kwahiyo mashirika ya ndege yaliathirika sana. Japo kwa sasa kuna dalili njemaHivi hawa Precision Air Wameishia wapi na hisa zetu maana ni miaka 10 sasa patupu!!!