Watu na fani zao utawajua tu 🙂
Haiko mkinga hata ukiwa serious, ni haki yako, ila ma OG hawanunui kwa fedha taslimu hiyo kitu.Natania tu mkuu..nothing serious
Hii ni mipango ya Mungu bro.Hii rekodi kama ni kweli haiwezi kutuingiza kwenye kitabu cha Guinness World Records kweli?
yaani hicho kitabu inabidi tupewe kabisa.Hii rekodi kama ni kweli haiwezi kutuingiza kwenye kitabu cha Guinness World Records kweli?
Hii rekodi kama ni kweli haiwezi kutuingiza kwenye kitabu cha Guinness World Records kweli?
Tukaona tumeshindwa kuchukua ushindi soka Afrika, labda tutapata ushindi kwenye turnover ndogo kabisa ya siku.Siku zote hesabu hazidanganyi!! yanimoja ni moja huwezi iita moja nne!!
Mimi natafuta kuona kama kuna mtu katupita, for real.yaani hicho kitabu inabidi tupewe kabisa.
sasa unauliza nzi kwenye kinyesi mkuu?Hebu tuache utani jamani hizi figure ni za ukweli ?
Kama ni kweli mtu mwenye car washing business hapo mjini nje ya hiyo Stock Exchange anaweza kupiga mingo kubwa zaidi ya turnover ya Stock Exchange kwa siku.Hebu tuache utani jamani hizi figure ni za ukweli ?
Au akakihamishia magogoni ili wapike dataAlivyo wa ajabu anaweza kufunga kitengo cha soko la hisa na kusema kinapotosha wananchi. Anakotupeleka hata mwenyewe hajui.
Katika hali isiyo ya kawaida, soko la hisa la Dar es Salaam limeanza kwa mdororo mkubwa wiki hii. Ripoti zinaonyesha kwamba ni sh40,000 ndizo ziliripotiwa kupatikana leo kutokana na mauzo ya hisa.
Hiki ni kiwango cha chini kabisa kuripotiwa na soko la hisa miaka 21 tangu kuanzishwa kwake. Hatua hii inatokana na kukosekana kwa wawekezaji wa kigeni ambao wanachangia asilimia 80 ya thamani ya umiliki wa hisa na asilimia 80 ya mauzo na mamunuzi ya hisa.
Tutafika tu
umeelewa uzi au umelewa uzi😂Aaah kuna mtu alikuwa ananishawishi mambo ya hisa,kumbe kumekuwa ivyo tena
40k hata malaya wa maana hupati..