Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kitu Cha kwanza, wakamatwe viongozi wa soko waliosimamishwa!! Uchunguzi uanzie kwa hao.
Kariakoo kubwa mkuu, sema eneo lipi la Kariakoo, sokoni au mtaa anakopatia mkate wa kila siku Haji Manara au wapi?
Kweli naona hapa ni mwendo wa kusaka pesa kwa nguvu zoteWatu wasiojulikana wameamua kupambana baada ya kutekelezwa na samia. Pesa kwao imekuwa ngumu hakuna uporaji tena sasa wameamua kufanya kweli.
Fire si wapo mita 1000 tu toka hapo au na leo hawana maji
Fire si wapo mita 1000 tu toka hapo au na leo hawana maji
Kitu Cha kwanza, wakamatwe viongozi wa soko waliosimamishwa!! Uchunguzi uanzie kwa hao.
🤣🤣Mkuu si unawajua hao? Wana vifaa chakavu na mara nyingi hawana hata tone la maji.
Ushaambiwa Soko kuu. Inamaana hulifahamu?kariakoo kubwa, sehemu ipi hasa
Wanasema soko kuu la Kariakoo ...lipo moja soko kuu la Kariakoo lakinikariakoo kubwa, sehemu ipi hasa
Hakika.Kitu Cha kwanza, wakamatwe viongozi wa soko waliosimamishwa!! Uchunguzi uanzie kwa hao.
Imekuwa too muchHaya matukio ya moto lazima uchunguzi wa maana ufanyike kila sehemu ni moto moto.
Habari mkuu mi sio kibakaHabari au Mali?