Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hili nililoliona usiku nakubaliana na wewe mkuuSasa naanza kuamini haya matukio ya moto hayafanyiki kwa bahati mbaya na mashaka yangu yapo kwenye system
Masoko mapya yamejengwa na hayana wapangaji Magomeni Kisutu n the like. .. Yatapataje wapangaji?[emoji23]Duh, haya mambo ya masoko kuungua moto huenda ni mbinu za wakubwa serikalini ili wapige hela za ujenzi , kuanzia kwenye mchakato wa zabuni ya kumpata mkandarasi, hadi ujenzi unapomalizika
Ndiyo maanakeUtasikia zimetolewa bilioni 50 kujenga soko la kisasa.
Mkandarasi ataletwa na RC !
Uko sahihi kabisa. Tatizo ni kwamba watu hapa wameanza kuingiza siasa.. kwa mambo ambayo wala hawana uhakika.Ulaumu uongozi wa soko
Walaumu wafanyabiashara hapo wanaokaa bila mfumo unaoeleweka
Watu wanashindwa kujipanga
Ova
We nawe mfua chupi za samia hujitambuiWw ndio umepotea KABISA na hamjitambui.. mnamsifia tu JPM kila siku.. si mkamfufue sasa?? Mtu aliharibu sana hii nchi na inaendelea kuharibika sababu yake..
Jifunze kutafakari MkuuKwani JPM hakuwa CCM?