Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jieleze vizuri, wewe una kuku unauza sasa unatafuta soko ama vipi?Naomba kufahamu wateja na soko la kuku wa kienyeji Dodoma na mikoa jirani
'Kuku wa kienyeji' imekuwa ni neno la brand ya biashara.Naomba kufahamu wateja na soko la kuku wa kienyeji Dodoma na mikoa jirani
Ndio nna kuku natafta sokoJieleze vizuri, wewe una kuku unauza sasa unatafuta soko ama vipi?
Weka bei kama ukiwaleta Dar mwenyewe ni bei gani?Ndio nna kuku natafta soko
Kwa nini usiwajuwe kroirer? Wewe utakuwa hujui kuku.'Kuku wa kienyeji' imekuwa ni neno la brand ya biashara.
Kiuhalisia tunalishwa sana 'kroiller' bila kujua.
Ukibambikwa kroiller wewe waweza kujua?
Kroiler nyama yake ni nyeupe zaidi na laini sana, pia supu yake ni nyeupe tofauti na kienyeji pasee'Kuku wa kienyeji' imekuwa ni neno la brand ya biashara.
Kiuhalisia tunalishwa sana 'kroiller' bila kujua.
Ukibambikwa kroiller wewe waweza kujua?
Ujue nini mkuu, hawa chotara tunaowazungumzia, namna wanavyoishi, rangi zao, sura na namna wanavyoadapt mazingira,, kuwafahamu wakiwa sokoni yahitaji ujuzi wa ziada.Kwa nini usiwajuwe kroirer? Wewe utakuwa hujui kuku.
Wanaowalisha kroirer ni hao wanaowauzia supu ya kuku, kuku hai unauziwaje kroirer?
Upo sahihi kabisa mkuu.Ujue nini mkuu, hawa chotara tunaowazungumzia, namna wanavyoishi, rangi zao, sura na namna wanavyoadapt mazingira,, kuwafahamu wakiwa sokoni yahitaji ujuzi wa ziada.
Sidhani kama kuna features kubwa zinazowatofautisha na kuku wa kienyeji!
Labda nikuulize mkuu, ni feature gani ukimwangalia tu unajua na kujua kwamba huyu ni chotara?
Mimi kuku wa kizungu, ninaoweza kuwatambua haraka ni croiller na layers tu.
Ngozi za miguu yao zinakuwa njano fulani hivi. Wana manyoya machache na mepesiUjue nini mkuu, hawa chotara tunaowazungumzia, namna wanavyoishi, rangi zao, sura na namna wanavyoadapt mazingira,, kuwafahamu wakiwa sokoni yahitaji ujuzi wa ziada.
Sidhani kama kuna features kubwa zinazowatofautisha na kuku wa kienyeji!
Labda nikuulize mkuu, ni feature gani ukimwangalia tu unajua na kujua kwamba huyu ni chotara?
Mimi kuku wa kizungu, ninaoweza kuwatambua haraka ni croiller na layers tu.
Kwani kroiller wanashida gani kiafya? Au wanatouti gani kiafya na hao wa kienyeji?Kwa nini usiwajuwe kroirer? Wewe utakuwa hujui kuku.
Wanaowalisha kroirer ni hao wanaowauzia supu ya kuku, kuku hai unauziwaje kroirer?
Swali la msingi hili!Kwani kroiller wanashida gani kiafya? Au wanatouti gani kiafya na hao wa kienyeji?
Hawana shida yoyote, kuku wa kienyeji bei iko juu.Kwani kroiller wanashida gani kiafya? Au wanatouti gani kiafya na hao wa kienyeji?
Kama hawana shida kiafya tule tuHawana shida yoyote, kuku wa kienyeji bei iko juu.
Ni kama kondoo na mbuzi, kuna watu wanawauzia watu nyama ya kondoo wakijifanya wanauza mbuzi choma.
Ukienda Arusha kwa mromboo kama mbuzi ulimtundika hana mkia ujuwe huuzi hiyi nyama.
Kondoo hana tatizo lakini watu wengi wanapenda mbuzi choma na bei ya mbuzi iko juu ya kondoo iko chini.
To be more precisely ni kama parachichi la Rombo na parachichi la Burundi yote ni avocado lakini rombo ni the best hata kwa test.
Wako 100 mkuu lakin hata akihitaji mara kwa mara anapataWewe ndio unauza wako wangapi? bei zako zikoje sema chapu nikuungaishe na soko
Bei zake zikojeWako 100 mkuu lakin hata akihitaji mara kwa mara anapata