Soko la kuku wa nyama bloiler kwa Mwanza lipoje?

Soko la kuku wa nyama bloiler kwa Mwanza lipoje?

Tuungane mkuu tuingie huko simiyu na bariadi tutafute wa kienyeji tuje tuuze mwanza but kila mtu na mtaji wake nahitaji company tuu
 
K
Salute!

Kwa wafugaji wa kuku wa nyama Dar soko ni rahisi sana tofauti na mikoani ambapo mtu hulazimika kuuza reja reja hadi kuku watapoisha.

Kwa Dar una option mbili:

1. Reja reja ambapo bei huwa 7000-7500.

2. Kuuza kwene chama cha kuku hapa utauza kwa 6000.

Faida ya kuuza kwenye chama wanachukua kuku wote hata kama unao 300. Hivyo huwezi pata hasara.

Swali je, kwa Mwanza Soko la kuku broiler limekaaje? kuna vyama vya kuku ambacho unaweza uza jumla?

Mi nimgeni, nipeni maelekezo.
Habari, nimeona post yako wakati natafuta supplier wa kuku kwa mwanza. Je unao hapo mwanza?
 
K

Habari, nimeona post yako wakati natafuta supplier wa kuku kwa mwanza. Je unao hapo mwanza?

hapana kwa sasa mkuu, mi nimfugaji nimetoka Dar ,,, nimehamia huku
 
Ushakosea step ya kwanza ya mradi, umefanya uzalishaji na hujui soko. Mwanza siijui so nakupa back up plan endapo umekosa hili unalotafuta, inahitaji muda ila ni endelevu.

Uza kuku kadhaa tafuta vifaa kama jiko, ndoo, sahani, vikombe, chupa ya chai. Bakiza mtaji kidogo wa kuanzia kununua maziwa, ndizi, mihogo, tangawizi, kahawa, mafuta ya kupikia na mkaa.

Tafuta location yenye watu wengi wanaopita hasa intersections pembeni ya vibarani preferably kuwe na baa za karibu. Tafuta mama mpe kila kitu kazi yake kukaanga na kuuza hivyo nilivyotaja. Siwezi kukupa estimations atauza kuku wangapi kwa siku ila kila siku atauza.

Sasa multiply hicho unachofanya kwa mama mmoja kifanye kwa mama kadhaa kadri unavyoweza. Hakuna haja ya kibanda wala kibari. Unaweza uza kuku kadhaa kwa siku na wengine ukauza kwa kwa njia unayotafuta hapa.

Chukua ushauri huu kama wewe ni mjasiriliamali, kilimo na ufugaji usipojumlisha na ujasiriamali utatia huruma endapo soko la awali litafeli.

Angalizo: Kitu chochote huwa ni chepesi kwenye maandishi, sio kwenye utekelezaji.
Motivation speaker
 
Mwanza kuhusu broiler soko ni dogo sana na sana sana kwenye vibanda vya chips

Kuna wahindi walikuja mwanza wakawekeza bilioni of money kwenye broiler na still waliangukia pua walikuwa na brand yao wanaiita kuku poa

Wakazi wa mwanza na kanda ya ziwa ni wazito kupokea kitu kigeni na kukitumia kwa haraka especially kwenye chakula.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mwanza kuhusu broiler soko ni dogo sana na sana sana kwenye vibanda vya chips

Kuna wahindi walikuja mwanza wakawekeza bilioni of money kwenye broiler na still waliangukia pua walikuwa na brand yao wanaiita kuku poa

Wakazi wa mwanza na kanda ya ziwa ni wazito kupokea kitu kigeni na kukitumia kwa haraka especially kwenye chakula.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

kumbe kuku poa ilikua ya wahindi??

pale walipokuepo nilikua naenda kula walihama
 
Mwanza kuhusu broiler soko ni dogo sana na sana sana kwenye vibanda vya chips

Kuna wahindi walikuja mwanza wakawekeza bilioni of money kwenye broiler na still waliangukia pua walikuwa na brand yao wanaiita kuku poa

Wakazi wa mwanza na kanda ya ziwa ni wazito kupokea kitu kigeni na kukitumia kwa haraka especially kwenye chakula.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app

Lakini nilisikia pia walikua wanachinja wanapeleka dar bloiler wengi sana
 
Back
Top Bottom