wadau, naomba kujua kwa wale wanaofahamu hasa walionitangulia na wenye uelewa wa hii progamu pengine wameisoma au ndugu zao waliifanya. Vipi hii program soko lake la ajira likoje?
Nahitaji kuifanya na bachelor nimfanya economics so, ni vizuri kabla sijaanza nifanye uchunguzi kabla sijachukua hatua.
MSAADA TAFADHALI...
Nahitaji kuifanya na bachelor nimfanya economics so, ni vizuri kabla sijaanza nifanye uchunguzi kabla sijachukua hatua.
MSAADA TAFADHALI...