Natumaini sote tu buheri wa afya wakuu,
Naomba niende kwenye lengo moja kwa moja. Nina viroba vya mihogo zaidi ya mia moja(100) hivyo natafuta soko.Bado ipo shambani ila atakayekuwa interested. Nitavuna mwenyewe kisha anachukuwa ikiwa tayari. Nipo Kahama, Shinyanga.
Bei ni maelewano. Serious buyers only
Please call 0759884771 au email fkiganja@yahoo.com.
Asanteni
Naomba niende kwenye lengo moja kwa moja. Nina viroba vya mihogo zaidi ya mia moja(100) hivyo natafuta soko.Bado ipo shambani ila atakayekuwa interested. Nitavuna mwenyewe kisha anachukuwa ikiwa tayari. Nipo Kahama, Shinyanga.
Bei ni maelewano. Serious buyers only
Please call 0759884771 au email fkiganja@yahoo.com.
Asanteni