Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Upo Dodoma sehemu gani? taja mahali ulipo , vipi hilo soko likipatikana una uwezo wa kusupply mwenyewe mpaka sokoni? Nyanya ni bidhaa inayooza mapema so jibu hayo maswali. Vipi bei? unauza kwa debe au kilo ? Ongeza taarifa
Morogoro debe ni buku moja hadi mia sabaNipo kilomita 30 toka Dodoma mjini barabara ya kuelekea Kondoa. Ninauza kwa debe la lita 20 ni Tsh. 10,000 shambani negotiatable.
KIPINDI HIKI KUUZA NYANYA NI NGUMU SANA SOKO LIPO LAKINI BEI IKO CHINI SANA,Mimi ni mkulima toka dodoma. Nina nyanya lakini soko ni tatizo. kwa mwenye taarifa za soko msaada tafadhali
0629 046084
Kweli mkuuHAPO NDIPO MTAONA UMUHIMU WA VIWANDA VYA KUSINDIKA NYANYA.....
NCHI YA VIWANDA VIWANDA WAANZE NA HIYO BASI
OVAA
Eeee bwana eee umemiua jamaa yangu mwaka huu hii biashara ni kichaa hapa Dodoma.Morogoro debe ni buku moja hadi mia saba
Viwanda vya usindikaji ndiyo kila kitu mkuuKweli mkuu
Yani nasaka elimu ya usindikaji bidhaa
Ushasema Morogoro na mwenzio kazungumzia Dodoma vip mbona unakurupuka mkuu!!Morogoro debe ni buku moja hadi mia saba
Kwa TZ ni vigumu kutafuta soko la mazao ya kilimo kabla hujalima kwa sababu bei zinaendeshwa na uwingi / uchache wa bidhaa. Dawa yake ni hiyo tu ya usindikaji.Ni kweli Nyanya hazina bei nzuri kwa sasa, wiki mbili zilizopita wakulima walikuwa wanagawa nyanya bure maana zinaoza so sad. Pia kibiashara kabla hujaamua kufanya biashara tafuta soko kwanza ndipo uanze biashara. Kwa sasa kuna watu wengi wameingia kwenye kilimo na kuzidi uhitaji wa soko la ndani hivyo ni hatari maana hatuna viwanda vya kusindika na ku add value
Suala la kuwa na viwanda vya kusindika ni la muhimu sanaKwa TZ ni vigumu kutafuta soko la mazao ya kilimo kabla hujalima kwa sababu bei zinaendeshwa na uwingi / uchache wa bidhaa. Dawa yake ni hiyo tu ya usindikaji.
Uko sahii lkn contract farming labda mwenye Cash Crops lkn kwa mazao ya Horticulture ni changamoto sana,pia na aina ya wakulima wetu wengi wanafanya kilimo cha kujikimu sio hasa cha biashara.Njia za kupata soko kabla ya kulima zipo. Contract farming ni moja ya njia hizo - bei ya Mazao inakuwa fixed no matter what is happening in the market place kama bei imepanda au kushuka. Uzuri wa njia hii ni uhakika wa soko ila ni muhimu kuwa makini na vipengele vya mkataba. Changamoto kwa mkulima ni kuzalisha mazao bora kulingana na mkataba. Mnunuzi atafuatilia mchakato mzima wa uzalishaji kujiridhisha. Hii ipo na inafanyika hapa bongoland