Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Nyanya zilizomwagwa pale dumila mmh wakulima wamepata hasara bila shaka.... Poleni sasa nyanya zinauzwa bei chee sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mwanza zinasoko sababu kunawakenya buhongwa wanalangua. Wenzetu uko wanaviwanda vya kutosha.Soko la nyanya lipo mwanza pande za Buhongwa!!jitahid upate updates za hilo eneo kama zitakidhi malengo yako uliyojiwekea baada ya kuuza