Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haitawezekana mkuu, maana watawala wetu ni wabinafsi snKwa uwelewa wangu huu wa lasaba B
Tunapo zungumzia soko la pamoja huimaanishi kuuza vitu at one place
Wafanya biashara mathalani wa Tz wanaweza uza bidhaa zao (ghafiau laah)
Katika nchi yenye uhitaji bila kuwepo na mifumo ya kodi
ie.
import duty au vat
Angalizo hapa napo ni pagumu kutokana na utofauti wa maendeleo ya tekinologia baina ya wanachama
Jana kunatangazo la waziri kitila mkumbo kuhusu ku approvu one common market kwa African countries wameratify hiyo treatyHaitawezekana mkuu, maana watawala wetu ni wabinafsi sn
Kama JK alishindwa hakuna mtu mwingine, itaishia kwenye makaratasiJana kunatangazo la waziri kitila mkumbo kuhusu ku approvu one common market kwa African countries wameratify hiyo treaty
So far sijajua where the reservation clause has been set to apply
Tatizo la tz si uongozi wa seraKama JK alishindwa hakuna mtu mwingine, itaishia kwenye makaratasi
Mbona Sasa tunauza na wao wanatuuzia tofauti ninini sawa na soko la kariakoo wakutanapo watu toka pande zote za tanzania na hata wageni toka nchi majirani
hapo mkenya ataleta (sabuni za mbuni/ mafuta kimboboi/ etc), Rwanda/Burundi wataleta maparachichi, Tanzania twapeleka mahindi na madini, Zambia wanunuzi wa bidhaa, Congo ............
Nliliona limeandikwa kwa kiingereza na waziri mswahili naona hata yeye haelewi ni kitu gani hicho ndio maana aliandika kiingerezaJana kunatangazo la waziri kitila mkumbo kuhusu ku approvu one common market kwa African countries wameratify hiyo treaty
So far sijajua where the reservation clause has been set to apply
AbsolutelyNliliona limeandikwa kwa kiingereza na waziri mswahili naona hata yeye haelewi ni kitu gani hicho ndio maana aliandika kiingereza
Nliliona limeandikwa kwa kiingereza na waziri mswahili naona hata yeye haelewi ni kitu gani hicho ndio maana aliandika kiingereza