The Evil Genius
JF-Expert Member
- Mar 21, 2014
- 6,017
- 19,506
Wakuu naomba kuuliza nawezaje kupata soko la samaki.
Nina shamba la samaki wameanza kukomaa hivyo nategemea kuanza kuwavuna mapema mwezi ujao.
Kama kuna mtu anajua,anaweza kunipa mwongozo.
Nina shamba la samaki wameanza kukomaa hivyo nategemea kuanza kuwavuna mapema mwezi ujao.
Kama kuna mtu anajua,anaweza kunipa mwongozo.