Siku za ajabu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2012
- 1,369
- 986
DaahUPDATES:
TAARIFA YA MOTO SOKO LA SIDO MBEYA:
MOTO UNAWAKA SANA HASA MAENEO YA SHARIF MAKOBA KUELEKEA MADUKA YA USAGATIKWA...
MUDA HUU POLISI WANAONGEZEKA KWA WINGI SANA KUONGEZA NGUVU NA SASA MABOMBU YANARINDIMA SANA KUTAWANYA WATU WOTE WASISOGELEE ENEO LA SOKO... HAKUNA ANAYERUHUSIWA KUINGIA NDANI YA SOKO MANA KWA USIKU HUU HAIJULIKANI NANI MWENYE MALI AU ASIYE NA MALI.
KWA TAARIFA YAKO MOTO NI MKUBWA SANA NA UMEANZIA NJE UNAELEKEA NDANI
UMEME UMEZIMWA KATIKA MAENEO YOTE YA KARIBU LAKINI MOTO NI MWINGI KAMA NA KUPELEKEA MWANGA MKUBWA KATIKA MAENEO...
KAMA UPO NYUMBANI BASI BAKI NYUMBANI MAANA POLISI WANAFANYA YAO MUDA HUU NA HAKUNA ATAKAYETOKA NA KITU AU KUFANYA UHUNI WA AINA YOYOTE...
UPDATES:
TAARIFA YA MOTO SOKO LA SIDO MBEYA:
MOTO UNAWAKA SANA HASA MAENEO YA SHARIF MAKOBA KUELEKEA MADUKA YA USAGATIKWA...
MUDA HUU POLISI WANAONGEZEKA KWA WINGI SANA KUONGEZA NGUVU NA SASA MABOMBU YANARINDIMA SANA KUTAWANYA WATU WOTE WASISOGELEE ENEO LA SOKO... HAKUNA ANAYERUHUSIWA KUINGIA NDANI YA SOKO MANA KWA USIKU HUU HAIJULIKANI NANI MWENYE MALI AU ASIYE NA MALI.
KWA TAARIFA YAKO MOTO NI MKUBWA SANA NA UMEANZIA NJE UNAELEKEA NDANI
UMEME UMEZIMWA KATIKA MAENEO YOTE YA KARIBU LAKINI MOTO NI MWINGI KAMA NA KUPELEKEA MWANGA MKUBWA KATIKA MAENEO...
KAMA UPO NYUMBANI BASI BAKI NYUMBANI MAANA POLISI WANAFANYA YAO MUDA HUU NA HAKUNA ATAKAYETOKA NA KITU AU KUFANYA UHUNI WA AINA YOYOTE...
ninyi watoto wa juzi hamjui haya mambo. Serikali ina mzizi mrefuLazima utakuwa na mawazo na roho mbaya sana hiyo serikali gani duniani inaweza kufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
ndugu Siku zote soko LA kisasa Linakuwa na Tahadhari za motoLazima utakuwa na mawazo na roho mbaya sana hiyo serikali gani duniani inaweza kufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesoma iyungaMbeyaa sijui kuna majanga gani. ..nakumbuka wakatii niko form six shule yetu iliungua mara mbilii ndani ya wiki mbili
Nokia ya Torch
Unabisha nini sasa...jamaa kaongea kweli na ndio local system zakuleta ubora sikuhizi..maana matamko ya mdomo tu yanapuuzwa so wanatumia nguvu ya ziadaLazima utakuwa na mawazo na roho mbaya sana hiyo serikali gani duniani inaweza kufanya hivyo
Sent using Jamii Forums mobile app