Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

Soko la Sido laungua moto jijini Mbeya

Mbona taarifa zinachelewa kuletwa chanzo cha moto, au maafa yoyote hapo?
 
Yan mbeya sijui wanashida gani kuunguliwa na masoko,



In ua Presence Jesus is where I belong
 
yap ndani ya tukio tayar huu moto umenikumbusha syria...
 
UPDATES:
TAARIFA YA MOTO SOKO LA SIDO MBEYA:
MOTO UNAWAKA SANA HASA MAENEO YA SHARIF MAKOBA KUELEKEA MADUKA YA USAGATIKWA...

MUDA HUU POLISI WANAONGEZEKA KWA WINGI SANA KUONGEZA NGUVU NA SASA MABOMBU YANARINDIMA SANA KUTAWANYA WATU WOTE WASISOGELEE ENEO LA SOKO... HAKUNA ANAYERUHUSIWA KUINGIA NDANI YA SOKO MANA KWA USIKU HUU HAIJULIKANI NANI MWENYE MALI AU ASIYE NA MALI.

KWA TAARIFA YAKO MOTO NI MKUBWA SANA NA UMEANZIA NJE UNAELEKEA NDANI

UMEME UMEZIMWA KATIKA MAENEO YOTE YA KARIBU LAKINI MOTO NI MWINGI KAMA NA KUPELEKEA MWANGA MKUBWA KATIKA MAENEO...

KAMA UPO NYUMBANI BASI BAKI NYUMBANI MAANA POLISI WANAFANYA YAO MUDA HUU NA HAKUNA ATAKAYETOKA NA KITU AU KUFANYA UHUNI WA AINA YOYOTE...
Daah

Heavy Weight
 
UPDATES:
TAARIFA YA MOTO SOKO LA SIDO MBEYA:
MOTO UNAWAKA SANA HASA MAENEO YA SHARIF MAKOBA KUELEKEA MADUKA YA USAGATIKWA...

MUDA HUU POLISI WANAONGEZEKA KWA WINGI SANA KUONGEZA NGUVU NA SASA MABOMBU YANARINDIMA SANA KUTAWANYA WATU WOTE WASISOGELEE ENEO LA SOKO... HAKUNA ANAYERUHUSIWA KUINGIA NDANI YA SOKO MANA KWA USIKU HUU HAIJULIKANI NANI MWENYE MALI AU ASIYE NA MALI.

KWA TAARIFA YAKO MOTO NI MKUBWA SANA NA UMEANZIA NJE UNAELEKEA NDANI

UMEME UMEZIMWA KATIKA MAENEO YOTE YA KARIBU LAKINI MOTO NI MWINGI KAMA NA KUPELEKEA MWANGA MKUBWA KATIKA MAENEO...

KAMA UPO NYUMBANI BASI BAKI NYUMBANI MAANA POLISI WANAFANYA YAO MUDA HUU NA HAKUNA ATAKAYETOKA NA KITU AU KUFANYA UHUNI WA AINA YOYOTE...


[emoji27]
 
Mida hii soko la sido mbeya linateketea kwa moto na huu moto umekua wakujirudia rudia
a49aba90de9245e12b51dc73dcda4e4f.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii hujuma au nn? Mbeya majanga hayaishi.Mungu awatie nguvu wafanya biashara wa Sido. New York Street pale Sido haitakuepo tena tulikua tunapata nguo Kali sana.
 
Chanzo cha cha moto ni umeme kwenye maduka kwa ambao hawakuzima umeme, umeanzia kwenye kibanda cha CD jamaa hakuzima sakiti,ila hii mission imetengenezwa tangu wiki ilopita na ilitakiwa itimie weekend kuna wafanya biashara walishtuka jana nilkuta wakijadili hili suala
Tangu alhamisi mbeya umeme unakatwa saa kumi na mbili alafu mida ya saa tatu wanarudisha ile kama mtu anachezea hii imepelekea watu wengi kuunguliwa vitu vya majumbani,na huu ni mpango wa kuwapeleka wafanya biashara kwenye lile ghorofa.
Hii ndo inaitwa "mchana tochi, usiku magogo tufanyeje sasa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnataka wawekezaji wakati hata fire haupo?!. Nani aje awkeze mabilioni hapa?!. Nimesikitika sana kama kuna mtu kafanya makusudi basi vilio vimwendee yeye na watu waje. Should not be the curse of the nation rather his,/her family.
 
Back
Top Bottom